Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,223
- 19,876
dah pole sana kwake
Samehe saba mara sabini baba. Asaidiwe tu yaishe tutamsema akipona.Wanaringia sana raia hata kusalimia wanaona kinyaa ila wakiumwa wanakuja kutembeza bakuli.
AaaaaaminMungu atafanya njia kifedha hata kumponya . Amen
Hao Global publishers huwa wanatembelea wagonjwa hata wasio maarufu na kuwapa airtime, nadhani watu wengine kama Millard Ayo wangeiga mfano.., sio kuwahoji washenzi kama Zumaridi.Rais hapaswi kushughulishwa na matatizo ya mtu mmoja mmoja, hususan kwa vile eti mhanga ni msanii. Kwa nini wasanii wapewe special dispensation ndani ya nchi ?
Tuwe na mifumo ya kuwasaidia wananchi bila kujali umaarufu, kada, au fani ya mtu, na wala bila kutegemea huruma ya Rais ama attention ya Rais. Kwa sababu tupo milioni 61, na kwa pamoja tunalipa matozo ya simu, ma faini ya trafiki, makodi ya biashara na kila kitu. Na wagonjwa wanaotaabika ambao wangependa kupata attention ya Rais wako kwa maelfu, sio msanii mmoja.
Natamani nikuone siku moja"
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Sawa, tuendelee kumchangiaMungu Ampe wepesi. Shida ya wasanii wakipona magonjwa ambayo michango imetoka Kwa Kada tofauti wao shukran zao wanasemaga asante CCM , Asante Mama Samia. Sijawahi kusikia wanesema asante chadema au mbowe .
Wabadirike huwezi jua pengine ktk Mia waliochanga CCM ni mmoja tu
Kuna hii ni ya miezo 10 iliyopita, acha hiyo ya leo, ni kadhia ya muda mtefu sana it seems
Kwani Magogoni/Chamwino hukujui mkuu?Natamani nikuone siku moja