Namtafuta Upendo Mbogo

Namtafuta Upendo Mbogo

Na mimi subiri nijaribu....nawatafuta HABIBA na ZUHURA.....tulipotezana area A Dom 2002
 
Kuna mtu namfananisha kama alikuwa anakaa lile bweni la mwisho karibu na makanyagio kule kwa mwl mwangosi lakini sina hakika kama alikuwa miaka hiyo unayoisema.

Mkuu umepatia atakuwa huyo huyo alikuwa anakaa Makongoro kwa mwalimu Mwangosi maana karibia na Makanyagio ni Shaaban Robert West na mwalimu aliekuwa pale alikuwa anaitwa mwalimu Ngui na ndiye aliekuwa Second Master enzi za Mbao headmaster. Baadae Ngui walimpeleka kuwa headmaster kama sikosei secondary ya Mwakaleli Mbeya. Please sasa wewe unaonekana kumfahamu huyo Gwamaka please nipe contact zake
 
Mkuu umepatia atakuwa huyo huyo alikuwa anakaa Makongoro kwa mwalimu Mwangosi maana karibia na Makanyagio ni Shaaban Robert West na mwalimu aliekuwa pale alikuwa anaitwa mwalimu Ngui na ndiye aliekuwa Second Master enzi za Mbao headmaster. Baadae Ngui walimpeleka kuwa headmaster kama sikosei secondary ya Mwakaleli Mbeya. Please sasa wewe unaonekana kumfahamu huyo Gwamaka please nipe contact zake

Katika kundi lao kuna jamaa mmoja yupo vodacom nitamtafuta ili asaidie kumpata huyo Gwamaka kama watakuwa wana mawasiliano.
 
Mi namtafuta mtu anaitwa Nsajigwa Mwakinyuke tafadhali anaejua his whereabouts ani PM

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Anachezea Dar Es Salaam Young African, ni beki mbili ila kwa sasa anaelekea uzeeni.
We nenda hapo jangwani, mitaa ya Twiga, utampata.
 
Annet Siara nakutafuta kweli mumie, tulikuwa wote Muhimbili primary (class of 1998)...Uko wapi siku hizi?? Tulikula sana mihogo ya ngalawa na mishikaki ya mangi..na yale mabungo ya yule babu kwenye kake kakona pale nje ya kantini..pila kusahau adhabu za kuokota mbegu za ubuyu 100, loohh!!


Ha kumbe wewe ni mtoto wa ndosi?
 
Uwiiiiiii............ Yegomasika, usinikumbushe kuhusu Pale Snow Cream, ice cream zao zilikuwa tamu balaaa, unakula huku unajiona kwenye vioo upande wote, na ile michoro ya koni ukutani.
Ila sasa hivi imehamishiwa Pale Upanga, karibu na Upanga Pharmacy.

Ice cream ya karanga waikumbuka?
 
Mhhhh,....... sie tulifundishwa na akina mwl Chuma, Mwl Mwarongo, Mwl kimati.........na wengineo, Ila hao pengine walikuwepo ila tatyizo nimewasahau tu,
Mwalimu mkuu alikuwa Fadhili Saiwad....sahv nasikia sijui yupo Kumbukumbu P/S au Mbuyuni P/S

Kimati mama yake Kelvin?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom