Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 655
Mimi namtafuta faiza foxy na malaria sugu,wapi watu hawa?
Namtafuta Petiti Koshuma, Rehema Salamba, Diana Palla(Forodhani Primary School)
Babu Jinga(alikuwaga muuza koni maarufu enzi twasoma Forodhani miaka ya 97)
Masudi(alikuwa muuza pipi maarufu pale nje ya geti,Forodhani Primary miaka ya 97)
Mwalimu mwalubandu alifariki maskini
Dah!
Yani ni kitambo sana mdau.
Enzi hzo twagombania kwenda kwa masista kuonja msosi duh.
Enzi za Paredi chini ya ule mti wa Muarobaini.
No fagio wala kidumu.
Tumetoka mbali sana.
Nimesahau probably .forodhani Enzi hizo sakafu karibia shule nzima upande Ike wa sec ndio
Udongo bustani .sikumbuki nilisoma la kwanza mpaka la Tatu nikahama
Ahahahahahah..Na kweli umeipata.Nimeamini kweli aliwazalo mjinga ndio linalomtokea.Naitafuta BAN , mara ya mwisho nilipishana nayo jukwaa la siasa, anayeifahamu ani PM tafadhali
Madame B and Co., Ltd mbona uzi huu mwaufanya chat room?
Ulitakaje?
Raha ya Uzi uchangiwe.
Angetaka usichangiwe angeenda kupachika tangazo gazetini.
Wa wapi wewe!
Ulitakaje?
Raha ya Uzi uchangiwe.
Angetaka usichangiwe angeenda kupachika tangazo gazetini.
Wa wapi wewe!
Hebu Kaa kushoto,wasomi tuongeapo.
kumbe raha kujibizana na Madame B! Habari za asubuhi? Nipo Mwashilalage Kwimba, Mwanza. Wewe ni wa Zanzibar UAE?
teh teh nmekumiss...!!! sana...
Popote ulipo nichek facebook rahim chanzy
Sikumbuki vizuri alikuwa Gwamaka nani but jamaa alikuwa anakaa bweni la Lumumba East kwa mwalimu Mgimwa maana Lumumba West alikuwepo mwali Masebo. Pia huyo Gwamaka alikuwa anatokea Mwakaleli na kama sio Tukuyu
Naona mmeshakutana...... Mwenyezi Mungu kweli hamtupi mja wake..Ban mbaya kuitwa tu ushafika...Naitafuta BAN , mara ya mwisho nilipishana nayo jukwaa la siasa, anayeifahamu ani PM tafadhali