Namtafuta Upendo Mbogo

Namtafuta Upendo Mbogo

Namtafuta Angela Damas yule aliekua miss Tz.
 
Hahaha hapa watu wamechakachua vya kutosha nimebaki nacheka tu khaa! Jf never boring @ the boss !
 
namtafuta esta bulaya .nimemis sana .esta ni pm plz i miss u so much
 
Namtafuta Fatuma,ni my classment Kishoju sec, ani PM!!
 
Huyu jamaa namfahamu. Baada ya mto Songwe kuacha njia masika yaliyopita, jamaa akajikuta yupo upande wa Malawi na passport ya kuingia TZ hana~

aaah kwa hiyo yupo malawi sio..
 
mi' namtafuta Pastory Bandiho fany hima uni-PM mkuu!
 
Namtafuta Edina Mkomwa, mwenye kujua ani PM
 
Nami namtafuta Deus William.. Popote ulipo ni PM tafadhali..! Lol
 
Huyu jamaa namfahamu. Baada ya mto Songwe kuacha njia masika yaliyopita, jamaa akajikuta yupo upande wa Malawi na passport ya kuingia TZ hana~

Kwa hiyo anasubiri kwa hamu mafuriko mengine ili mto urudi kwenye former course teh teh teh...!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom