emmy kibanga
New Member
- Mar 16, 2013
- 3
- 1
Hakya nani tena. Nahisi utakuwa umekumbuka hizo pipi na koni.
Mie pia nimesoma foro and petiti koshuma niko na number zake na wengine na pia natafuta wengine. Na kuhusu waalimu nimeonana na baadhi tena kama mwalimu Salma,Vicky,lulanga,sewadi pia na mwalimu nyalika niliongea nae katika simu. Ila kasema walimu wengi wamefafiki pia