Namtafuta Upendo Mbogo

Namtafuta Upendo Mbogo

Kumbe wana-Forodhani tupo wengi humu!
Nawakumbuka sana Mwl Julius(JJ), Mwl. Matata(my favorite teacher), Sr. Kimati, Nyalika, Bange(my favorite too). Wakati huo Mwalimu Mkuu alikuwa Mrs. Mbuya(nadhani alishafariki)
Madame B asante kwa picha imenikumbusha mbali.

Enzi za Tahfif kule mtaa wa nyuma,
Nakumbuka chimbo langu lilikuwa ni kule Cathedral Book Shop.........Niliazimaga Kitabu mpaka leo bado ninacho......tumetoka mbali sana.
Nilikwamaga na Lifti pale Telecom House........ilikuwa ndo zetu, tunatoroka pindi, tunaenda kupanda lifti.
 
Hivi WAKATI UNASOMA jULIUS ALIKUWEPO BADO?
nA MWALIMU mATATA?

we theboss

mwl julius alitulizwa na mdada muuza sunvita....ukali wote ukaishia mfuko wa shati na mkewe akamwona si mtu....

Unless ni mwl julius mwingine

sio yule wa physics
 
Last edited by a moderator:
we theboss

mwl julius alitulizwa na mdada muuza sunvita....ukali wote ukaishia mfuko wa shati na mkewe akamwona si mtu....

Unless ni mwl julius mwingine

sio yule wa physics

Yule mdada anaeuza sanvita banda lake jekundu liliunguaga...........wanafunzi tuliliaje
 
Namtafuta Petiti Koshuma, Rehema Salamba, Diana Palla(Forodhani Primary School)

Babu Jinga(alikuwaga muuza koni maarufu enzi twasoma Forodhani miaka ya 97)

Masudi(alikuwa muuza pipi maarufu pale nje ya geti,Forodhani Primary miaka ya 97)
Madame B, nilikuwa nakuona pale snow cream..ulikuwa unapenda sana ile "Banana boat"..!.
 
Masudi muuza pipi bado yupo?
Forodhani shule hiyo hiyo
ingawa nilisoma zamani zaidi

Masudi aliondokaga, Babu Jinga nae alisepaga.
Nakumbuka enzi zile za wanyonya damu........
Likipita gari ya zimamoto tu na King'ora chake.........hizo mbio zake, Mpaka ndani ya kanisa la St. Joseph.
 
Madame B, nilikuwa nakuona pale snow cream..ulikuwa unapenda sana ile "Banana boat"..!.

Uwiiiiiii............ Yegomasika, usinikumbushe kuhusu Pale Snow Cream, ice cream zao zilikuwa tamu balaaa, unakula huku unajiona kwenye vioo upande wote, na ile michoro ya koni ukutani.
Ila sasa hivi imehamishiwa Pale Upanga, karibu na Upanga Pharmacy.
 
Last edited by a moderator:
We acha tu,
koni zilikuwa tamu zile.....balaa, Afu + SunVita ndo usiseme..............
Ila Forodhani.....sitapasahau.
4744_94150965862_3089887_n.jpg
Mwalimu mwalubandu alifariki maskini
 
Annet Siara nakutafuta kweli mumie, tulikuwa wote Muhimbili primary (class of 1998)...Uko wapi siku hizi?? Tulikula sana mihogo ya ngalawa na mishikaki ya mangi..na yale mabungo ya yule babu kwenye kake kakona pale nje ya kantini..pila kusahau adhabu za kuokota mbegu za ubuyu 100, loohh!!
 
Maija Saleh Kiety....2008 Shoprite Arusha ndo mara ya mwisho tulikutana! dah...alikuwa akiishi maeneo ya sokoni i think!!
 
Mwl manyama kasheshe

Dah!
Yani ni kitambo sana mdau.
Enzi hzo twagombania kwenda kwa masista kuonja msosi duh.
Enzi za Paredi chini ya ule mti wa Muarobaini.
No fagio wala kidumu.
Tumetoka mbali sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom