Namtafuta Mwalimu Rukia Ngadala

Mkuu Kabanga,

Nilipita Kibasika lakini ama hawajui kama yupo shule huko Tanga au walifanya makusudi ya kutoniambia. Lakini hiyo taarifa kwamba kwa sasa anafundisha shule moja mkoani Tanga niliipata hapo Kibasila.

Tiba

pole ni kibasila sec Tiba? umefika ofisi ya masijala? isije kuwa umemuuliza mlinzi getini....? ikiwa ni Sec, fanya hivyo nnilivyokueleza
 
Last edited by a moderator:
pole ni kibasila sec Tiba? umefika ofisi ya masijala? isije kuwa umemuuliza mlinzi getini....? ikiwa ni Sec, fanya hivyo nnilivyokueleza

Nilifika Kibasila Secondary kabisa nikakutana na mwanamke mmoja ambaye nadhani ni Mwalimu pale. Yeye nilipomweleza shida yangu, aliguna tu na kuniomba nimfuate. Akanipeleka kwa Mwalimu mwingine wa kike ambaye kutokana na maandishi kwenye mlango ni Mwalimu mkuu msaidizi. Yeye aliniuliza nina uhusiano gani na huyu ninayemtafuta, nikamweleza. Mwisho alinifahamisha kwa urahisi tu kwamba aliisha hama pale na kwa sasa kadiri anavyosikia anafundisha kwenye shule moja huko Tanga.

Nilihisi kuna kitu walikuwa hawataki kunieleza!!!!!!!!

Tiba
 
Last edited by a moderator:
Nilifika Kibasila Secondary kabisa nikakutana na mwanamke mmoja ambaye nadhani ni Mwalimu pale. Yeye nilipomweleza shida yangu, aliguna tu na kuniomba nimfuate. Akanipeleka kwa Mwalimu mwingine wa kike ambaye kutokana na maandishi kwenye mlango ni Mwalimu mkuu msaidizi. Yeye aliniuliza nina uhusiano gani na huyu ninayemtafuta, nikamweleza. Mwisho alinifahamisha kwa urahisi tu kwamba aliisha hama pale na kwa sasa kadiri anavyosikia anafundisha kwenye shule moja huko Tanga.

Nilihisi kuna kitu walikuwa hawataki kunieleza!!!!!!!!

Tiba

pole Tiba huyo mama nilikuwa nafundisha nae hapo hadi nilipoacha 2010.... sina chakukusaidia kwa kweli hapo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom