Namtafuta Mary Hunbig....

Namtafuta Mary Hunbig....

Hivi Madame B, Mr. Rocky, kaka Erikb52 hawapo kunisevu au ndo siku ya kufa nyani miti yote inateleza?
jiasaidie usaidiwe mkuu....HATA Messi pamoja na kuzungukwa na wakali kibao wanaomlisha pasi za mwisho lakini mwenyewe vilevile hufanya jitihada binafsi kufumania nyavu...onyesha jitihadaa kwanza kabla ya Madame B NA Erickb52 kuja kutoa msaada
 
Last edited by a moderator:
Log in.. Napita tu, ila neno la Mungu halichezewi kama baadhi yenu mnavyo litumia humu CC, neno la Mungu linatakiwa litumike katika hari ya unyenyekevu na utii wa hali ya juu. Kila la kheri

Kweli aisee.. mimi natubu dhambi zangu zoote za kulitumia neno la Mungu bila unyenyekevu.. Naomba huruma ya Mungu pia imfikie Bujibuji pale alipoteleza. amen
 
Last edited by a moderator:
jiasaidie usaidiwe mkuu....HATA Messi pamoja na kuzungukwa na wakali kibao wanaomlisha pasi za mwisho lakini mwenyewe vilevile hufanya jitihada binafsi kufumania nyavu...onyesha jitihadaa kwanza kabla ya Madame B NA Erickb52 kuja kutoa msaada

nimeonyesha na bado naonyesha.
 
Last edited by a moderator:
sio waniinue. Wakupe sapoti uniinue unichukue moyoni mwako niwe salamaaaa

Wewe una macho stevoh?
Una masikio?
Isaya 6:9-"Naye akaniambia,Enenda ukawaambie watu hawa,Fulizeni kusikia lakini msifahamu,fulizeni kutazama lakini msione."
Marko 4:12-"Ili wakitazama,watazame,wasione,
Na wakisikia wasikie wasielewe..."
NAKUSHANGAA!!
 
Last edited by a moderator:
Marry Hunbig stevoh let no one despice ur youth,and greet with one another with a holly kiss mwaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
hahaha!!
Unajua mkuu trachomatis,hata mi nikahisi kademu kanatuzuga,si nikaenda kuchungulia bible bwana,dah!
Sijui kameitafuna bible haka,maana stevoh anasutwa hapa kwa maandiko tu!
Du!

Umeona eeh... Mi mwenyewe namkoma hapa nilipo. Sijui ana electronic Bible yeyee..
Hata hivyo nataka nimswalike kizushi..
 
Last edited by a moderator:
Hahahhahahahahhahahahahhahahahahahahhahahahahha psalms 2:4(he who sits in heaven laughs..)1chronicles 16:22,touch not my anointed ones,and do my prophets no harm,psalms 105:15 touch not my anointed ones




Mathayo 7:15-"Jihadharini na manabii wa uongo,watu wanao wajia wamevaa mavazi ya kondoo,walakini ndani ni mbwa mwitu wakali"
Nimekushtukia Chimbuvu!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom