Namtafuta Mary Hunbig....

Namtafuta Mary Hunbig....

Mh.. Loading........ Please wait..... 30%..50%..85%.....................................100% .. Status Connected
 
Hahahhahahahahhahahahahhahahahahahahhahahahahha psalms 2:4(he who sits in heaven laughs..)1chronicles 16:22,touch not my anointed ones,and do my prophets no harm,psalms 105:15 touch not my anointed ones

Mathayo 7:16-"Mtawatambua kwa matunda yao.Je!Watu huchuma zabibu katika miiba,au tini katika mibaruti?"

Mathayo 7:21-"Si kila mtu aniambiaye Bwana,Bwana,atakayeingia katika ufalme wa mbinguni,bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni"

Hata shetani alitumia neno la Mungu kumjaribu Yesu,kama wewe ufanyavyo,lakini Yesu alimshinda kwa neno!
Soma mathayo 4:1-11.
 
Mathayo 7:16-"Mtawatambua kwa matunda yao.Je!Watu huchuma zabibu katika miiba,au tini katika mibaruti?"

Mathayo 7:21-"Si kila mtu aniambiaye Bwana,Bwana,atakayeingia katika ufalme wa mbinguni,bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni"

Hata shetani alitumia neno la Mungu kumjaribu Yesu,kama wewe ufanyavyo,lakini Yesu alimshinda kwa neno!
Soma mathayo 4:1-11.

"basi kesheni
Ninyi kila wAkati nkiomba ili mpate kuokoka katika hayo yote yatakayotokea na kusimama mbele za mwana wa Adamu"!
 
Kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzake wote watatumbukia katika shimo


"basi kesheni
Ninyi kila wAkati nkiomba ili mpate kuokoka katika hayo yote yatakayotokea na kusimama mbele za mwana wa Adamu"!
 
Psalms 118:22-25,,' the stone which the builders rejected has become the chief cornerstone,its the Lords doing,marvelous in our eyes


Mathayo 7:16-"Mtawatambua kwa matunda yao.Je!Watu huchuma zabibu katika miiba,au tini katika mibaruti?"

Mathayo 7:21-"Si kila mtu aniambiaye Bwana,Bwana,atakayeingia katika ufalme wa mbinguni,bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni"

Hata shetani alitumia neno la Mungu kumjaribu Yesu,kama wewe ufanyavyo,lakini Yesu alimshinda kwa neno!
Soma mathayo 4:1-11.
 
Wewe una macho stevoh?
Una masikio?
Isaya 6:9-"Naye akaniambia,Enenda ukawaambie watu hawa,Fulizeni kusikia lakini msifahamu,fulizeni kutazama lakini msione."
Marko 4:12-"Ili wakitazama,watazame,wasione,
Na wakisikia wasikie wasielewe..."
NAKUSHANGAA!!

uuuuh unataka uniambie kua sisikii wala sielewi?? Nifanyeje? Give me a solution.
 
Last edited by a moderator:
wenye mke tupo kimya. Nyie mnaishia kuumiza keybord.
 
Na hii imeandikwa kwenye novel gani mkuu Kaizer?

Heee ntake radhi tangu lini bible ikawa novel? Huyajui haya? Lol

Umemsikia Chimbuvu apo juu akisema " jiwe walilokataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni, neno hili limetoka kwa Bwana nalo ni ajabu machoni petu"?
 
Last edited by a moderator:
Heee ntake radhi tangu lini bible ikawa novel? Huyajui haya? Lol

Umemsikia Chimbuvu apo juu akisema " jiwe walilokataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni, neno hili limetoka kwa Bwana nalo ni ajabu machoni petu"?

Hakuna mkuu Kaizer.
Umechomoa maneno kwenye bible na kuunga unga usomeke kama mstari,kitu ambacho si sahihi.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna mkuu Kaizer.
Umechomoa maneno kwenye bible na kuunga unga usomeke kama mstari,kitu ambacho si sahihi.

Sijaunga unga, sema sina bible karibu ningekuwekea ua basi niangalizie kwen injili?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom