Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,749
- 1,311
Marry Hunbig naomba sikiliza kilio cha mtoto wa mwanamke mwenzio na uache siasa za kwenye baibo.
Arushaone,
2Timotheo 3:16-"Kila andiko,lenye pumzi ya Mungu,lafaa kwa mafundisho,na kwa kuwaonya watu makosa yao,na kwa kuwaongoza,na kwa kuwaadibisha katika haki".
Hivyo,BIBLIA SIO SIASA,NDIO MAISHA YENYEWE!!!
Last edited by a moderator: