Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,341
Log in.. Napita tu, ila neno la Mungu halichezewi kama baadhi yenu mnavyo litumia humu CC, neno la Mungu linatakiwa litumike katika hari ya unyenyekevu na utii wa hali ya juu. Kila la kheri
Log in.. Napita tu, ila neno la Mungu halichezewi kama baadhi yenu mnavyo litumia humu CC, neno la Mungu linatakiwa litumike katika hari ya unyenyekevu na utii wa hali ya juu. Kila la kheri
Log in.. Napita tu, ila neno la Mungu halichezewi kama baadhi yenu mnavyo litumia humu CC, neno la Mungu linatakiwa litumike katika hari ya unyenyekevu na utii wa hali ya juu. Kila la kheri
Mithali 14:24-"Taji ya wenye hekima ni mali zao,
Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu."
shukrani kwa mchango. Ushauri na mawazo yako.
umbea huo!!
mkuu stevoh,kwa hali ninayo iona kwenye huu uzi,itabidi ukale chimbo kwenye bible,afu uitumie kumtongoza huyu marry hunbig,lasivyo huchomoki hapa!!
Mkuu stevoh,kwa hali ninayo iona kwenye huu uzi,itabidi ukale chimbo kwenye bible,afu uitumie kumtongoza huyu Marry Hunbig,lasivyo huchomoki hapa!!
Mithali 14:24-"Taji ya wenye hekima ni mali zao,
Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu."