miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,973
Nilikuwa nifungue case kama King'asti usinge tokea hapa!
Mh!! King`asti una mambo... Anyway Happy birthday Moderator... leo unasherehekea siku yako pamoja na Miss chagga..
Paw, nimesoma vizuri ila nilipokuta jina la mkeo, ndo hamu ya kuendelea kusoma ikaishia hapo hapo.
Shosti keki wapi???
yaan ulikuwa unasubiri asubmit uwe wa kwanza ku comment huchez mbali