Siwapendi hao watu jmn ni kujidharirisha tu bora uwe na mtu wa maana hata ukifumaniwa isiwe aibu
Mtu huyo wa maana hakikisha kuwa anakaa karibu sana na wewe. Usiwe na kawaida ya kwenda kwake wala guest. Huko ndo mashakani daima. Ndo maana nakuambia mlinzi au shamba boy. Huna haja ya kuogeshwa naye bali kukunwa tu mpaka kilele. Mtu wa maana kwani wataka kuolewa naye?