Namshangaa mume wangu kugoma kunipa unyumba

Namshangaa mume wangu kugoma kunipa unyumba

Nisamehe kwa kufikisha ujumbe kwa kuandika vibaya niko safari mitetemo ya gari vidole inateleza.nilitaman niwasilishe
 
Mimi na wasisi na hilo jina linaweza kuwa sababu ya kunyimwa
 
Tathmini kauli zako au vitabiatabia ulivyo navyo. Kuna wakati unaweza kujiona innocent ila unakuwa na mambo fulani yanayomuudhi mtu kiasi kwamba anakukinai na huku kukueleza anashindwa maana ni mambo sensitive sana au katika hali ya kawaida unatarajiwa kuwa unafahamu ubaya wake kutokana na umri n.k
 
Mikono unayo, vidole unavyo unashindwa vpi kujipooza mwenyewe? Ukitegemea kukunwa na mtu mwingine wakati na wewe vidole unavyo utaumia roho tu. Nunua vibrator kwa raha zako
 
Sasa sometimes kama mwanamke ndo desturi yake kukununia mwanaume ufanyeje labda, usimfanyie mtu kitu ambacho hupendi kufanyiwa, mm demu wangu akinilia buyu na mm buyu hata likiwa buyu la forever mm poa tu mpaka anarudi mwenyewe LadyAJ
Hilo swali nafikiri ni la kujiuliza nyinyi wanaume kutokana na hii thread, binafsi sipendi tabia za kununa, ila ukinuna mbona Buyu tutakuna hasaa,ila pia iyo Tania ya kununa wanaume wa kileo mmeitoa wapi?nini maana ya kuwa mwanaume sasa? Maana kama unashindwa kuhimili vishindo vya mkeo utaweza kweli kukabiliana na ya Dunia ?? Mbadilike jamani kha?
 
Mikono unayo, vidole unavyo unashindwa vpi kujipooza mwenyewe? Ukitegemea kukunwa na mtu mwingine wakati na wewe vidole unavyo utaumia roho tu. Nunua vibrator kwa raha zako
Acha kumshauri mwenzio akili chafu hizo!!
 
Inakuwaje mume wako wa ndoa anakunyima unyumba yapata miez miwili au wakAti mwingine mwezi mmoja. Hata ukambembeleza anakataa. Je nifanyeje. Nataka niachane naye asije niletea matatizo.ushauri please
nina wasiwasi na madai yako,nijuavyo mimi mwanamke ndiye anayempa mumewe unyumba na sio mwanaume kumpa mkewe unyumba
 
Acha kumshauri mwenzio akili chafu hizo!!
Kwa nini ni akili chafu sister? Kujipa raha mwenyewe tatizo liko wapi wakati mwenzio anaugulia maumivu ya moyo na mwili?
 
Hana hata gono ila naye ni dictator tu sema nikichepuka najua nitaharibu nyumba kwani nitaconcetrate nje zaid na nitamdharau had atanishtukia but namvutia subira tu .
Yeye ni nani.....
 
Watu kama nyie Mbona kunakitu kinaitwa makapuku au ujakiona
Mimi najaribu kutoa ushauri tu kwa dada hapo jinsi ya kutatua tatizo lake. She is horny lakini mume hana time nae kwa hiyo anahitaji attention kutoka kwa mumewe lakini pia anahitaji kukata kiu yake ya mapenzi. Akiamua kujipooza mwenyewe wakati anasubiria mume arudi kwenye mstari tatizo liko wapi? Hii sio kwa ajili ya makapuku ni kwa wote.
Kuna wanaume anaweza kuta k inanuka ila hata mwambia zaidi ya kumpotezea tu, kama hajaambiwa inamaanisha hata yeye hawezi kujua,.lakini kama anaweza kujisugua ikulu yake mwenyewe kama kuna harufu ambayo sio atagundua tu na kurekebisha.
 
Mimi najaribu kutoa ushauri tu kwa dada hapo jinsi ya kutatua tatizo lake. She is horny lakini mume hana time nae kwa hiyo anahitaji attention kutoka kwa mumewe lakini pia anahitaji kukata kiu yake ya mapenzi. Akiamua kujipooza mwenyewe wakati anasubiria mume arudi kwenye mstari tatizo liko wapi? Hii sio kwa ajili ya makapuku ni kwa wote.
Kuna wanaume anaweza kuta k inanuka ila hata mwambia zaidi ya kumpotezea tu, kama hajaambiwa inamaanisha hata yeye hawezi kujua,.lakini kama anaweza kujisugua ikulu yake mwenyewe kama kuna harufu ambayo sio atagundua tu na kurekebisha.
Basbasbas Inatosha!!!!
 
Kwa nini ni akili chafu sister? Kujipa raha mwenyewe tatizo liko wapi wakati mwenzio anaugulia maumivu ya moyo na mwili?
Kwaiyo tiba ya maumivu ni hayo ma punch unayomshauri? Hayo ma vibrator ili anyambue nyama za uchi? Michezo ya hatari sana hiyo si ya kumshauri mtu labda kama humpendi, kama wewe unatumia hayo ma toy acha Mara moja maana madhara yake utayoyapata ni bora ungejimwagia maji moto upunguze nyege kuliko hayo ma vibrator na zaidi ya yote wengine lile tendo ni hatua ya mwisho kabisa wengi wetu huvutiwa na Romance hebu niambie wewe mwanamke au mwanaume kwa kutumia njia hizo iyo Romance utaitoa wapi? Mdogo wangu kushiriki mapenzi ya kujiridhisha mwenyewe ni Laana Kum
 
Mimi najaribu kutoa ushauri tu kwa dada hapo jinsi ya kutatua tatizo lake. She is horny lakini mume hana time nae kwa hiyo anahitaji attention kutoka kwa mumewe lakini pia anahitaji kukata kiu yake ya mapenzi. Akiamua kujipooza mwenyewe wakati anasubiria mume arudi kwenye mstari tatizo liko wapi? Hii sio kwa ajili ya makapuku ni kwa wote.
Kuna wanaume anaweza kuta k inanuka ila hata mwambia zaidi ya kumpotezea tu, kama hajaambiwa inamaanisha hata yeye hawezi kujua,.lakini kama anaweza kujisugua ikulu yake mwenyewe kama kuna harufu ambayo sio atagundua tu na kurekebisha.
Iyo K' imeanza kunuka leo? Ushaambiwa wana mtoto/watoto wengine na sasa wanatarajia kupata mtoto mwingine! Watu mmejaa laana sana kwaiyo Mungu aliagiza Mwanandoa akinyimwa unyumba na mwenzie basi ajisugue mpka mwenzie atapojisikia!? Wewe una laana sio bure na kama unajisaga au kuji puli nakushauri uache kwani haina maana yoyote zaidi ya kukunyambua nyama za uke, kukuondolea hisia ya viungo harisi vya mwenzi wako, sasa utakua na haja gani ya kuolewa? Tatizo la shemeji ni kujitia ana nuna sasa kinachomnunisha nacho kinahitaji Toy LA kumsugua acheke au kinachohitajika ni yeye kukaa na mkewe aseme tatizo lake ni nini mpka anagomea kumpa unyumba mkewe, hata jogoo akiwa hawiki muwe mnasema tu coz muda mwingine waweza mpa mkeo Romance akaridhika bila shughuli yenyewe
 
Iyo K' imeanza kunuka leo? Ushaambiwa wana mtoto/watoto wengine na sasa wanatarajia kupata mtoto mwingine! Watu mmejaa laana sana kwaiyo Mungu aliagiza Mwanandoa akinyimwa unyumba na mwenzie basi ajisugue mpka mwenzie atapojisikia!? Wewe una laana sio bure na kama unajisaga au kuji puli nakushauri uache kwani haina maana yoyote zaidi ya kukunyambua nyama za uke, kukuondolea hisia ya viungo harisi vya mwenzi wako, sasa utakua na haja gani ya kuolewa? Tatizo la shemeji ni kujitia ana nuna sasa kinachomnunisha nacho kinahitaji Toy LA kumsugua acheke au kinachohitajika ni yeye kukaa na mkewe aseme tatizo lake ni nini mpka anagomea kumpa unyumba mkewe, hata jogoo akiwa hawiki muwe mnasema tu coz muda mwingine waweza mpa mkeo Romance akaridhika bila shughuli yenyewe
Sister mbona unakua mkali hivyo? Hiyo laana itoke wapi? Kwa nani? Hili ni jukwaa huru ndiyo maana kila mtu anatoa ushauri japo ni jukumu la mhusika kuamua afanye nini,,. Masturbation haieleweki,kukomaza uke na pia haiondoi hisia kwa mwenzi wake japo waafrika wengi tuna negative perception kuhusu hiyo kitu.

Let's just agree to disagree,,,..
 
Ushauri: Wakati wa kwenda kumuona mshenga wenu umeshafika sasa lakini tu kama umekaa nae na kuzungumza nae kwanza ukamuuliza tatizo nini hasa? Tafuta siku yenye utulivu na mahala tulivu. Nenda kwa mshenga asipokueleza ukweli na akishindwa kubadilika. Tafadhari siku hiyo epuka kukwaruzana nae kwa maneno au matendo.
 
Nina miaka naye mitano sasa ni amekuwa mtu wa kununa sana jmn kaaa anarudi kila siku saa nne
MAYBE Atakuwa ana mtu mwingine..hvyo haoni mvuto kwako. Kuna wengine hata zaidi ya mwaka..
Kama una moyo we kuwa mpole fuatilia taratibu utajua ana mchepuko.
 
Tehe tehe! Wapo usiseme wanaume wore ni marijali. Tupo wanawake wengi tunaovilia hizo shida.
Pole rafiki vumilia na jiweke bize na kazi.
Wengine wananuka ndio maana mtu anakaa miezi miwili hapigi
 
Back
Top Bottom