Namshangaa mume wangu kugoma kunipa unyumba

Namshangaa mume wangu kugoma kunipa unyumba

Wewe unamatatizo tena makubwa, halafu naona bado hujajitambua nafasi uliyonayo kwa sasa, huwezi kuwa ex wako bado anakupenda hali ukijua uko na mume wako. Kama bado mawazo ya wewe yako kwa yule wa zamani hadi leo, kwa nini ulimkubali huyu uliye naye? Kwa nini usingebaki na huyo ex wako akawa mmeo. Na hiyo ndio sababu ndoa yako inanyufa, pendo lako umeligawa pande mbili.

Na usipochukua hatua za makusudi kujirekebisha ndoa yako hiyo utaivunja kwa mikono yako mwenyewe!
 
Inakuwaje mume wako wa ndoa anakunyima unyumba yapata miez miwili au wakAti mwingine mwezi mmoja. Hata ukambembeleza anakataa. Je nifanyeje. Nataka niachane naye asije niletea matatizo.ushauri please


Ni pm mi ndo suluhisho mi ni kila siku sio chini ya bao 3
 
Inakuwaje mume wako wa ndoa anakunyima unyumba yapata miez miwili au wakAti mwingine mwezi mmoja. Hata ukambembeleza anakataa. Je nifanyeje. Nataka niachane naye asije niletea matatizo.ushauri please
Tatizo labda itakuwa kwakuwa wewe ni yondosister a.k.a kimbaumbau nayeye anataka big booty.
 
Yawezekana anahisi hiyo tumbo ni ya ex wako(maana bado mnarelationship), usishangae akikutaka kwenda kupima DNA baada ya kujifungua
 
Mwanaume kwa mwanamke hana ujanja.hebu FANYA hivi.jiweke kihasara hasara Ndani ya nyumba usivae mango mazito .km jinzi.hayo mawigi unayovaa kichwani vua,weka natural hair sisi wengine huwa tunasikia km harufu ya nyoka au panya mfu kwa hayo mawigi.tafuta perfume Kali sana ,pia pukizia kitu udi wa umangani Ndani ya CHUMBA.bila kusahau kupika chakula kizuri.maana kuna wadada hawa wa karne hii kupika kwo ni mtihani.kama hujui pika tafuta mpishi akupikie msosi mzuri.sisi wengine huwa hamu zetu za wanawake mpk mwanamke ajiandae kweli.ukiwa unakaa naye ndani hata stories za mahaba Ndani hamna ni shida kudindisha.pia acha kumpa mashtaka ya kila unachokisia mtaani hisia ya tendo huwaga inaondoka ghafla kwa kusikia makesi haya na yale kilaa siku Ndani ya nyumba za kupanga.acha umbea mwanamke hausaidii .
Ukifanya haya ukiona.bado mfuatilie pengine ana kidada nje .km hana kidada atakuwa amerogwa nenda kwenye maombi au hospitali
 
inawezekana huna mvuto kwake....pia huenda anakusaliti anakula kwa jirani
Nyie wanawake wa kiwanyima unyumba mnasema maneno yote mabaya juu yake lakini nyie mkiwanyima mnasema utakuwa huna mvuto[emoji17].Kuweni fair
 
Yawezekana anahisi hiyo tumbo ni ya ex wako(maana bado mnarelationship), usishangae akikutaka kwenda kupima DNA baada ya kujifungua

Yawezekana anahisi hiyo tumbo ni ya ex wako(maana bado mnarelationship), usishangae akikutaka kwenda kupima DNA baada ya kujifungua
Kuwa na hisia ni ruksa si binadamu bwana hata ww unahisi au unahisiwa vibaya sooo mawazo mgando hayo ruksa
 
Mwanaume kwa mwanamke hana ujanja.hebu FANYA hivi.jiweke kihasara hasara Ndani ya nyumba usivae mango mazito .km jinzi.hayo mawigi unayovaa kichwani vua,weka natural hair sisi wengine huwa tunasikia km harufu ya nyoka au panya mfu kwa hayo mawigi.tafuta perfume Kali sana ,pia pukizia kitu udi wa umangani Ndani ya CHUMBA.bila kusahau kupika chakula kizuri.maana kuna wadada hawa wa karne hii kupika kwo ni mtihani.kama hujui pika tafuta mpishi akupikie msosi mzuri.sisi wengine huwa hamu zetu za wanawake mpk mwanamke ajiandae kweli.ukiwa unakaa naye ndani hata stories za mahaba Ndani hamna ni shida kudindisha.pia acha kumpa mashtaka ya kila unachokisia mtaani hisia ya tendo huwaga inaondoka ghafla kwa kusikia makesi haya na yale kilaa siku Ndani ya nyumba za kupanga.acha umbea mwanamke hausaidii .
Ukifanya haya ukiona.bado mfuatilie pengine ana kidada nje .km hana kidada atakuwa amerogwa nenda kwenye maombi au hospitali
Ahsante kwa ushauri
 
Muonekano wako vipi ? Asee unajuwa wako wadada wanajiweka kihasara mpaka unawaza ivi nampandaje huyu mtu ?????
 
HHEHHEHE
Inakuwaje mume wako wa ndoa anakunyima unyumba yapata miez miwili au wakAti mwingine mwezi mmoja. Hata ukambembeleza anakataa. Je nifanyeje. Nataka niachane naye asije niletea matatizo.ushauri please
MATATIZO GANI SASA?
 
We mwongo, hakuna mwanamme anaeweza kulala kitanda kimoja na mwanamke miezi miwili bila kunaniliii, hata Kama wamekosana, pia hakuna kosa linalosameheka analoweza kaa nalo mwanamume miezi miwili, labda ugonjwa uingilie kati.
my dear hivi wale wanaume wanaoletaga hadi wanawake wengine ndani kwenye vitanda vyao na kisha kumshusha mke wake hujawahi kuwasikia sasa mtu mpaka afikie hapo inakuwa si wanaanzia kulala mzungu wa 4 kisha akiona umekomaa huondoko anamleta kabisa ndani aisee ndoa ni ngumu sana yaani kuungana na mtu mwenye akili zake zinazowaza kivyake kalelewa kivyake nani shida saana
 
We mwongo, hakuna mwanamme anaeweza kulala kitanda kimoja na mwanamke miezi miwili bila kunaniliii, hata Kama wamekosana, pia hakuna kosa linalosameheka analoweza kaa nalo mwanamume miezi miwili, labda ugonjwa uingilie kati.


Tehe tehe! Wapo usiseme wanaume wore ni marijali. Tupo wanawake wengi tunaovilia hizo shida.
Pole rafiki vumilia na jiweke bize na kazi.
 
Wewe unamatatizo tena makubwa, halafu naona bado hujajitambua nafasi uliyonayo kwa sasa, huwezi kuwa ex wako bado anakupenda hali ukijua uko na mume wako. Kama bado mawazo ya wewe yako kwa yule wa zamani hadi leo, kwa nini ulimkubali huyu uliye naye? Kwa nini usingebaki na huyo ex wako akawa mmeo. Na hiyo ndio sababu ndoa yako inanyufa, pendo lako umeligawa pande mbili.

Na usipochukua hatua za makusudi kujirekebisha ndoa yako hiyo utaivunja kwa mikono yako mwenyewe!
Hiv wew unaweza ukakaa na mkeo one year usimnunulie hata underwear then kwa nn asikumbuke alikotoka hee au unataka nan atoe huduma. Me namkumbuka my x kwasababu tu huyu hajali familia yake basi au ulitaka nikuwaze wewe
 
Sasa sometimes kama mwanamke ndo desturi yake kukununia mwanaume ufanyeje labda, usimfanyie mtu kitu ambacho hupendi kufanyiwa, mm demu wangu akinilia buyu na mm buyu hata likiwa buyu la forever mm poa tu mpaka anarudi mwenyewe LadyAJ
 
Wewe unamatatizo tena makubwa, halafu naona bado hujajitambua nafasi uliyonayo kwa sasa, huwezi kuwa ex wako bado anakupenda hali ukijua uko na mume wako. Kama bado mawazo ya wewe yako kwa yule wa zamani hadi leo, kwa nini ulimkubali huyu uliye naye? Kwa nini usingebaki na huyo ex wako akawa mmeo. Na hiyo ndio sababu ndoa yako inanyufa, pendo lako umeligawa pande mbili.

Na usipochukua hatua za makusudi kujirekebisha ndoa yako hiyo utaivunja kwa mikono yako mwenyewe!
Kwanza kuachana na na xwako ni ugomvi no tena anaweza akawa na ushaur mzur na msaada mzur kuliko hata mumeo na akakutoa aibu kuliko hata mumeo utu ni jinsi mtu alivyolelewa siyo muda wote kuwaza sex tu na x wako . Sex ni hadi pale mtu anapoamua ndio maana mtu anaweza sex na kichaa just mind set yake. So siyo kila mtu akiwasiliana na x wake eti wanamahusiano no funguka dogo acha visingizio.
 
Nikiangalia avata yako michango yako yakutaka ushauri napatwa na waswasi kuwa wewe unawezakuwa tatizo kwa mwenzio tena! Nakusisitiza yondosisi hacha mchezo malamoja ludi kwenye ndoa yako hongea na mumeo mumbo yakae sawa vinginevyo utakuja kujuta
 
Back
Top Bottom