Hana hata gono ila naye ni dictator tu sema nikichepuka najua nitaharibu nyumba kwani nitaconcetrate nje zaid na nitamdharau had atanishtukia but namvutia subira tu .yondosister;
Yawezekana amepatwa na gono nje huko hivyo sasa yupo kwenye dozi. Pili, waweza kuwa kikwazo kwake. Mara ya mwisho kukufurahia yawezekana ulimwambia neno likamkera. Labda yawezekana hakukufikisha kilele ukamwambia neno la kukera ka vile; Hata wanaume we haupo etc. Jua kama alikuwa na stress flani ukaongezea hilo au labda ulimwambia asikuchafue huku hakutoshelezi, ni maneno wayasemayo majimama kwa wanaume zao haswa wakiwa na hasira nao. Inategemea kwani hilo neno alikuwa hajawahi lisikia kwako hata mara moja.
Huwa linampa stress kila akikukaribia. Dawa ni kuongea naye taratibu na kumwomba radhi atarudia nguvu yake. Wanaume ni wa kubembelezwa siku hizi. Ukiniletea huu nasepa wala siendi mbali, mlango wa pili tu hapo.
[emoji23] [emoji23]
Wanasaikolojia husema ukiona mtu mzima anaeleza matatizo yakeInakuwaje mume wako wa ndoa anakunyima unyumba yapata miez miwili au wakAti mwingine mwezi mmoja. Hata ukambembeleza anakataa. Je nifanyeje. Nataka niachane naye asije niletea matatizo.ushauri please
Inawezekana chanzo cha tatizo ni wewe japo hujakieleza, labda kapata fununu unachepuka imebidi ajiweke pembeni ili uendelee na mchepuko wako.Inakuwaje mume wako wa ndoa anakunyima unyumba yapata miez miwili au wakAti mwingine mwezi mmoja. Hata ukambembeleza anakataa. Je nifanyeje. Nataka niachane naye asije niletea matatizo.ushauri please
Nimeamini uyasemayoHana hata gono ila naye ni dictator tu sema nikichepuka najua nitaharibu nyumba kwani nitaconcetrate nje zaid na nitamdharau had atanishtukia but namvutia subira tu .
Utakua unampa stress! Jipande upya na ujitadhimini why why?Nina miaka naye mitano sasa ni amekuwa mtu wa kununa sana jmn kaaa anarudi kila siku saa nne
..and this was your motive all along, mengine ni geresha tu!!Na mimi ndio nipo mbioni tena kwa hasira
Ktk mahusiano tofaut zipo but sijaon adhabu ni kunyimana unyumba.labda kosa la usarit unaweza kutoa hiyo adhabuKuna mengi hujayaelezea. Lazima kuna sababu
Kuna wanaume ni jeuri tu, hata umbembe mgongoni kusaidiwa ni lazimaUnyumba ni maandaliz lazma utengeneze mazingira kwanza akirudi jion muandalie chakula,maji ya kuoga piga nae story na jaribu pia kuvaa mavaz ambayo yatamvutia muda huo na sisi wanaume nikiumbe dhaifu tukiona tu unakuta hisia znakuja hapo hapo tengeneza mazingira vinginevyo utasaidiwa
Unadhani mim mtawa au padre km ww au..and this was your motive all along, mengine ni geresha tu!!
Ni dictator km nani?? Utakua ushachepuka alafu kastukia inshu ila anaona asikuambie aone utafanyejeHana hata gono ila naye ni dictator tu sema nikichepuka najua nitaharibu nyumba kwani nitaconcetrate nje zaid na nitamdharau had atanishtukia but namvutia subira tu .