Km kukosea hata yeye anakosea cha msingi ni kusameheana na siy kuninyimakwa nini ukunyime ebu kua muwazi
Mhhhhhh kiburi tena cha kufua nguoUtakuwa una kiburi sana!
Umemkera akasusa!
Apo kuna mawili either kuna vijitabia amesikia unavyo ambavyo anafikiri akishiriki na wewe izi ishu utamuua ama ana mchepuko unampa bichwa uko njeInakuwaje mume wako wa ndoa anakunyima unyumba yapata miez miwili au wakAti mwingine mwezi mmoja. Hata ukambembeleza anakataa. Je nifanyeje. Nataka niachane naye asije niletea matatizo.ushauri please
Na mimi ndio nipo mbioni tena kwa hasiratafuta wa kumpa huo utamu ila usijiachie sana na usiulize kuhusu utamu we kausha
Mpunga unajua kuna kipindi na kipindi sasa mim nina ujauzito nitafanyîwaje hivyo lazima anichukulie ktk har yangu kwa nin azabu yake ananinyima haki yanguKuna mambo meeengi yanaweza kuwa chanzo
Michepuko
Gubu
Usafi wa mwili wako
Jogoo kutokupanda mtungi
. Nk kaa naye muulize
tena njoo unipe mimi kwa hasira ya mwezi wa7 na wa8Na mimi ndio nipo mbioni tena kwa hasira
Hahahahahahaha utani sasaAnawezakuwa yupo kwenye dozi ya gono wewe unafikiri kakunyima kumbe
Pakay ni kweli kabisa tena analala na track na kujifunika shuka lake hata nikamwombaje analala kifudifudi hata ukamshikaje anajibu pumzikaWe mwongo, hakuna mwanamme anaeweza kulala kitanda kimoja na mwanamke miezi miwili bila kunaniliii, hata Kama wamekosana, pia hakuna kosa linalosameheka analoweza kaa nalo mwanamume miezi miwili, labda ugonjwa uingilie kati.
Nakuapia haki ya MUngu ni kweliUongo tu@unajaza server
Mmmmmm!! Hii chaiPakay ni kweli kabisa tena analala na track na kujifunika shuka lake hata nikamwombaje analala kifudifudi hata ukamshikaje anajibu pumzika
Nina miaka naye mitano sasa ni amekuwa mtu wa kununa sana jmn kaaa anarudi kila siku saa nne