Namsalimu Husninyo.

nami napenda kumwambia husninyo kupitia sredi hii kwamba namzimikia , nikienda chafya namuona kwenye makamasi, nimekonda mpaka bukta linapwaya kwa kumuwaza yeye, nikikoroma sauti inatoa jina lake. mengine nitaelezea post ijayo.

NB: post hii isiwe ni sababu ya kuombana hela ya vocha.

Hapo kwenye red mkuu, you made my day! ha ha haaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom