- Thread starter
- #21
Keren missed you girl.Jamani nimepita tu, hope wote hamjambo. Endeleen ku-enjoy wkend
Keren missed you girl.Jamani nimepita tu, hope wote hamjambo. Endeleen ku-enjoy wkend
hauniamini smily,auch that hurts.Asante Hus...ila mhh lift ya uporoto....mhh!
Asante Hus...ila mhh lift ya uporoto....mhh!
kamanda hii idea ya kuanzisha sredi tuliijadili pamoja halaf wewe ukajifanya mjanja kuilembea mwanzo. tutabanana kwenye hili hili sredi. kule kuna CPU leo, Lizzy anajifanya kama amesahau spelling za majina yetu.
Ngoja nikachafue hali ya hewa kule lol!
Asante Hus...ila mhh lift ya uporoto....mhh!
Huh?Kumbe mnapanga kabisa?Kweli hamfai nyie!ulijuaje kama unahitajika? harakisha bana lol
Atiiii??Na mimi nitaanza kuchafua hali ya hewa hapa, halafu nambeba Husninyo kiulaiiiiiiiiiiiiiiini
Rudi uone nimeshaweka mambo sawa.Na mimi nitaanza kuchafua hali ya hewa hapa, halafu nambeba Husninyo kiulaiiiiiiiiiiiiiiini
Unashangaa nini hebu ona anavyomwita Keren kichakani.Atiiii??
Unashangaa nini hebu ona anavyomwita Keren kichakani.
Na mimi nitaanza kuchafua hali ya hewa hapa, halafu nambeba Husninyo kiulaiiiiiiiiiiiiiiini
Keren missed you girl.
hauniamini smily,auch that hurts.
KH nakuomba uje huku kwenye migomba minene
Hizi broda broda mbona nyingi unataka kuninyima nini smily lol!Missed you too my broda uporoto....
Nakuamini my broda Uporoto...ila niliona muda umeenda, mpaka upitie huku kijijini nyumbani nitakuchelewesha....🙂
Aaaah bana uporoto, mimi na wewe tena..!Hizi broda broda mbona nyingi unataka kuninyima nini smily lol!
Easy sis just a joke nawe pia j 2 njema omba Arsenal washinde.Aaaah bana uporoto, mimi na wewe tena..!
Hope unaendelea vizuri na jpili njema.
Easy sis just a joke nawe pia j 2 njema omba Arsenal washinde.
A chick who knows the Gunners ? me like you already hahaha!Ohhh kama ni hao the gunners...you have my wishes....na watashinda kwa ushindi mkubwaaaa...🙂