Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,773
- 18,648
Wasenge hao, hamna loloteCCM na wachumia tumbo wa serikalini wameamua kuwadhalilisha - kuwapa chief mwanamke na ambaye si wajamii yenu 'kabila lenu'
Kupewa kiongozi wa kimila ambaye si wa jamii yako ni kama kuwa utumwani