tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,364
- 19,186
Polisi ni janga la kitaifa...ni wauza unga na washirika wa wauza unga wakubwa! Ni juzi polisi wamekamatwa huko Arusha wakisindikiza wauza bangi wakiwa na magunia 8 ya bangi....na inawezekana ile bangi ilikuwa ni kizibiti ambacho polisi waliwauzia raia, na wakaona kuwauzia tu haitoshi hadi wakawasindikiza, tena kwa ku2mia gari la serikali! Shame on policcm!