remon
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 295
- 48
Mi binafsi niliangalia kile kipindi japo nilikikutia katikati , ila yule kamanda hamna kitu ndy wale wale tu, hata kujibu hoja zilizo muusu alikuwa anapata kigugumizi, kwani kuna mtoa hoja mmoja aliuliza vidhibiti vingi vya unga wanavyokamatwa navyo watuhumiwa wa unga vinapotea mikononi wa polisi na mwisho wa siku unaambiwa mtuhumiwa yuko huru kwa kukosekana kwa kidhibiti. kamanda alishindwa kutoa jibu la maana zaidi ya kuzungusha. madawa ya kulevya polisi wanahusika, watala na wanasisa, mbaya zaidi kuna mtoa mada moja alikuwa meza kuu anasema ukimjua muuza unga kaliripoti polisi, au kwa m/kiti serikali za mitaa au mjumbe , wakati akijua ukifanya usalama wako uko shakani kwani hao hao polisi watampelekea taarifa muhusika(mtuhumiwa). I Don trust, I hate fu..n Tanzanian polisi, Thy like chiwawa dogs.