Nampenda sana na inanitesa sana

Nampenda sana na inanitesa sana

Lazima uzoeshe Moyo kupuuzia mambo ambayo unahisi yatakuumiza sana, ukishauseti hivyo utaishi kwa raha sana...Nakuambia haya maana wengine mambo kama haya hutokea na huyamaliza kimyakimya kwa kupuuzia na kupotezea, maana kwa nini uumie kwa jambo ambalo halikujengi bali linakuharibia na pengine linaweza kukukosesha hata kutomkumbuka Mungu kuwa ndiye atupaye uzima na afya, na Mungu pekee ndiye apangaye, pengine unaweza akakuwezesha kumpata yule umpendaye ambaye hatakutesa...maaan kwa dalili hizo ulizopata sioni mazuri huko mbele...Mpe Mungu kipaumbele, puuzia unayoona yatakuumiza, fanya yatakayokujenga na kukupa amani na furaha.
 
Kama anasoma hajibu na wewe muignore mpe a taste of her own medicine inasaidia

Unaweza kua pretender??? Act like humtaki tna japo moyoni unaugulia, punguza mazoea ww utakuja nipa mrejesho

Ukiona juhudi zako hazizai matunda leave her alone,hakupangwa awe wako

Fuata huu ushaurii
 
Huyo hata ukiwa nae Atakusumbua...!! Kupenda usipopendwa utakufa siku sio zako jombaa..Wapo wengi sana[emoji23][emoji23]
 
Kama umeona ndio wife material jikaze ndugu. Mimi pride yote ilibidi niweke mfukoni, miezi 6 hakuna call back wala message kujibiwa. Dah! Lakini ndio hivyo tena unakaza msuli, leo she's my wife for 4yrs been together for 10. Ila kama humpendi, usijitese.
 
Kama anasoma hajibu na wewe muignore mpe a taste of her own medicine inasaidia

Unaweza kua pretender??? Act like humtaki tna japo moyoni unaugulia, punguza mazoea ww utakuja nipa mrejesho

Ukiona juhudi zako hazizai matunda leave her alone,hakupangwa awe wako

Kwa maelezo ya mtoa mada, ku-ignore hakutasaidia, coz the girl anamtumia huyu mwanaume for attention and she doesn't give a f*ck about huyu mtoa mada Madame S
 
Kama umeona ndio wife material jikaze ndugu. Mimi pride yote ilibidi niweke mfukoni, miezi 6 hakuna call back wala message kujibiwa. Dah! Lakini ndio hivyo tena unakaza msuli, leo she's my wife for 4yrs been together for 10. Ila kama humpendi, usijitese.


Holy shit, unamfukuzia mwanamke for 6 months????? Mimi wiki moja tu nikiona mtu ananichukulia poa nabwaga manyanga, Nina pride kubwa sana.., coz naamini mwanamke anaenizungusha mda mrefu hanipendi, doooh mnaishije humo kwenye ndoa? Una uhakika huyo mkeo anakupenda au yupo na ww bhasi tu, kwa vile alikosa option MtamaMchungu
 
Habari wakuu, ID hii ni mpya lakini mimi ni mwenyeji humu ndani, nimeamua kutumia ili kuepusha baadhi ya mambo.
Wakuu naamini ushauri wenu utanisaidia sana ndio maana nipo hapa. Ipo hivi:

Mwezi July katika mishe zangu nilikutana na mtoto mmoja mkali (wana duka) basi siku ya kwanza tu kumuona nikampenda sana, (mimi sio play boy mzee wa chapa ilale) nakumbuka toka nilivyoachana na girl friend wangu 2013 nilikua single (sio domo zege) maana kama ningeamua kua na mahusiano ningetaka sababu mpaka sasa kuna watoto watatu hivi wananielewa na wanalilia mapenzi yangu (sijisifu ni ukweli mtupu) lakini sijakua nao sababu nahitaji mwanamke mmoja wa kutulia nae kuanza maisha.

Basi yule mtoto dukani pale kila siku nikawa naenda (siku nyingine namkuta, siku nyingine mdogo ake, au dada yake au kaka yake) basi siku nisipomkuta nikamkuta kesho yake nikawa napiga nae story kufidia (wazazi wake wana maisha ya kizungu hawana noma mara kibao wamenikuta naongea na dogo hawaja mind) basi imeenda tukazoeana sana, hatimaye dogo akanipa namba, tukaanza ku chat kila siku kwa sms/whatsapp muda wote, usiku pia tunaenda mpaka saa sita saa saba. Basi katika ku chat na kuwasiliana nikajikuta nazidi kumpenda sana dogo, nae nahisi hivyo, mwanzo alikua anitafuti mpaka nianze mimi lakini tulienda mpaka nae akawa huru kunitafuta, muda mwingi akawa ananianza yeye, basi wakuu nikajiona bahati nzuri hiyo upande wangu.

Huyu mtoto anajielewa sana, narudia tena anajielewa, sikua na lengo la kumchezea, bali nilitumia ujanja wote kufanya juu chini kuomba dating lakini wapi dogo alinichomolea, pia kwenye issue ya mahusiano akanichomolea, lakini bado tunawasiliana kila siku asubuhi-usiku.
Kila nikimueleza kuhusu mahusiano anakataa kabisa, basi nikaamua kumtafuta dada yake nikaomba aniambie ukweli kuhusu mdogo ake, dada ake akaniambia hajui kama dogo ana mtu ama laah ila dogo hua hamfichi mambo yakekama angekua nae angeshajua.

Basi kila mtu akaenda field, wote tupo vyuo, huko nako dogo tukawa tunawasiliana sana, cha ajabu nikiomba hata picha dogo ananinyima, whatsapp tu hajaweka dp wala status, insta nako hajaweka picha hata profile pic hamna, indicators kibao zinazoonyesh dogo anajielewa zikanivuta sana kwake, nikakaza bado dogo akawa anakataa anadai ana mtu, basi nikawa najiuliza kama ana mtu ulimwengu huu mwanaume unaachaje mwanamke wako atumie karibi siku nzima kuwasiliana na mwanaume mwingine, maana dogo kila siku nipo nae whtsapp hadi usiku na interval ya ku reply ni dk 2.

Sasa majuzi nikiwa whatsapp nikamcheki dogo, mh sio kawaida ile meseji ya kwanza hakua amenijibu, nilivyomcheki ilipita dakika 6 ndio akaisoma, akanijibu basi nika reply, dakika 20 dogo yupo online haku reply, mh nikajua hapa kuna mwanaume mwingine ana chat nae labda nisubiri zamu yangu kesho, kesho inafika saa 2 asubuhi dg yupo online, hajanijibu, nikasepa offline, nakuja kufungua saa 6 mchana yupo online ajanibu, siku ya kwanza, ya pili ya tatu mpaka leo tunaenda siku ya 6 dogo ajanijibu, wakuu huyu mtoto nampenda sana naona ana kila sifa za kua wife material lakini najiuliza kwanini yupo online na hanijibu, kila siku hadi saa tano, saa sita usiku.

Natamani nimuanze tena lakini naogopa, wazungu wanasema not getting a message is also a message, kila nikiandika ujumbe nimtumie naishia kuufuta, nimebaki njia panda, roho inaniuma kumuona mtoto online muda wote, attention na mimi hana tena, na wala sijamkosea lolote, nampenda sana na laiti angejua malengo yangu kua sitaki kumchezea angetulia na mimi

Naombeni mnishauri wakuu nifanye nini, moyo wangu ni sensitive sana,, siku mbili sijalala wala kwenda class, kiukweli hili jambo limeniumiza sana, sana , sana.
_ _ _ F_ nakupenda sana usinitese tafadhali.

ASANTENI WAKUU, NAWASILISHA.

Kwanini usimpigie simu? Au umtext tena? Ikiwa unampenda mwonyeshe unampenda. Ile siku ambayo utachoka kunyamaziwa, basi hayo mapenzi yataisha tu pole pole. Ila usiwe desperate. Wanadada hawapendi watu desperate. Ningekusihi ujikeep busy. Tafuta wanadada wengine wakuchat nao ili huyo mdada akutoke kichwani.
 
We sio chaguo lake,usilazimishe.Mfano mzuri wewe umesema kuna mabinti wanaokupenda ila wewe huwapendi,kwa hiyo na kwa huyo anayekuumiza kichwa wewe,hakuitaji kimapenzi kwasababu sio chaguo lake;nakushauri tafuta mwingine.
 
Ushuri wangu ni kuwa:
  1. Atafutaye hachoki, akichoka amepata. Endelea kutafutaa..
  2. Gonga gogo usikie mlio wake....endelea kugonga hadi mlio utokee. Usijali. Endelea kumtumia ujumbe. ATAKUJIBU, MUDA UKIWA MUAFAKA KWAKE.
 
Habari wakuu, ID hii ni mpya lakini mimi ni mwenyeji humu ndani, nimeamua kutumia ili kuepusha baadhi ya mambo.
Wakuu naamini ushauri wenu utanisaidia sana ndio maana nipo hapa. Ipo hivi:

Mwezi July katika mishe zangu nilikutana na mtoto mmoja mkali (wana duka) basi siku ya kwanza tu kumuona nikampenda sana, (mimi sio play boy mzee wa chapa ilale) nakumbuka toka nilivyoachana na girl friend wangu 2013 nilikua single (sio domo zege) maana kama ningeamua kua na mahusiano ningetaka sababu mpaka sasa kuna watoto watatu hivi wananielewa na wanalilia mapenzi yangu (sijisifu ni ukweli mtupu) lakini sijakua nao sababu nahitaji mwanamke mmoja wa kutulia nae kuanza maisha.

Basi yule mtoto dukani pale kila siku nikawa naenda (siku nyingine namkuta, siku nyingine mdogo ake, au dada yake au kaka yake) basi siku nisipomkuta nikamkuta kesho yake nikawa napiga nae story kufidia (wazazi wake wana maisha ya kizungu hawana noma mara kibao wamenikuta naongea na dogo hawaja mind) basi imeenda tukazoeana sana, hatimaye dogo akanipa namba, tukaanza ku chat kila siku kwa sms/whatsapp muda wote, usiku pia tunaenda mpaka saa sita saa saba. Basi katika ku chat na kuwasiliana nikajikuta nazidi kumpenda sana dogo, nae nahisi hivyo, mwanzo alikua anitafuti mpaka nianze mimi lakini tulienda mpaka nae akawa huru kunitafuta, muda mwingi akawa ananianza yeye, basi wakuu nikajiona bahati nzuri hiyo upande wangu.

Huyu mtoto anajielewa sana, narudia tena anajielewa, sikua na lengo la kumchezea, bali nilitumia ujanja wote kufanya juu chini kuomba dating lakini wapi dogo alinichomolea, pia kwenye issue ya mahusiano akanichomolea, lakini bado tunawasiliana kila siku asubuhi-usiku.
Kila nikimueleza kuhusu mahusiano anakataa kabisa, basi nikaamua kumtafuta dada yake nikaomba aniambie ukweli kuhusu mdogo ake, dada ake akaniambia hajui kama dogo ana mtu ama laah ila dogo hua hamfichi mambo yakekama angekua nae angeshajua.

Basi kila mtu akaenda field, wote tupo vyuo, huko nako dogo tukawa tunawasiliana sana, cha ajabu nikiomba hata picha dogo ananinyima, whatsapp tu hajaweka dp wala status, insta nako hajaweka picha hata profile pic hamna, indicators kibao zinazoonyesh dogo anajielewa zikanivuta sana kwake, nikakaza bado dogo akawa anakataa anadai ana mtu, basi nikawa najiuliza kama ana mtu ulimwengu huu mwanaume unaachaje mwanamke wako atumie karibi siku nzima kuwasiliana na mwanaume mwingine, maana dogo kila siku nipo nae whtsapp hadi usiku na interval ya ku reply ni dk 2.

Sasa majuzi nikiwa whatsapp nikamcheki dogo, mh sio kawaida ile meseji ya kwanza hakua amenijibu, nilivyomcheki ilipita dakika 6 ndio akaisoma, akanijibu basi nika reply, dakika 20 dogo yupo online haku reply, mh nikajua hapa kuna mwanaume mwingine ana chat nae labda nisubiri zamu yangu kesho, kesho inafika saa 2 asubuhi dg yupo online, hajanijibu, nikasepa offline, nakuja kufungua saa 6 mchana yupo online ajanibu, siku ya kwanza, ya pili ya tatu mpaka leo tunaenda siku ya 6 dogo ajanijibu, wakuu huyu mtoto nampenda sana naona ana kila sifa za kua wife material lakini najiuliza kwanini yupo online na hanijibu, kila siku hadi saa tano, saa sita usiku.

Natamani nimuanze tena lakini naogopa, wazungu wanasema not getting a message is also a message, kila nikiandika ujumbe nimtumie naishia kuufuta, nimebaki njia panda, roho inaniuma kumuona mtoto online muda wote, attention na mimi hana tena, na wala sijamkosea lolote, nampenda sana na laiti angejua malengo yangu kua sitaki kumchezea angetulia na mimi

Naombeni mnishauri wakuu nifanye nini, moyo wangu ni sensitive sana,, siku mbili sijalala wala kwenda class, kiukweli hili jambo limeniumiza sana, sana , sana.
_ _ _ F_ nakupenda sana usinitese tafadhali.

ASANTENI WAKUU, NAWASILISHA.
NINGEJUA UMRI WAKO kwanza na umri wake pia ningejua nishauri nn,maana nahc kuna kutokujielewa kati yenu hakuna mwanamke mgumu kwa mwanaume anayejielewa usiwe kama baba paroko au mchungaji ktk inshu za mahusiano hope utanielewa
 
Back
Top Bottom