Tripp
JF-Expert Member
- Feb 2, 2018
- 916
- 1,601
nilianzisha mahusiano na mdada mwenye mtoto mmoja na aitelekezwa nikawa namjali sana huduma kila siku baada ya miezi 2 nikaomba penzi...we akasema sawa siku ya mechi kasema nitume hele ya mtu wa kubaki na mtoto nikatuma 20 mpaka leo siku ya 5 yupo kimya na mimi sijamtafuta sasa siku ajichaganye ni 5 na mazoea sitaki