Nothing is good or bad but your thinking make it so.
Nimependa mistari yako hii mkuu@Ngwananzengo.
Mwanazuoni mmoja kwa jina Seun Obassanjo(mtoto wa the late prezdaa Ob), akihojiwa na press huko Callifonia alisema..."dhambi ni vile ufikiriavyo kwamba ni vibaya kumfanyia mwingine, kama kufikiri kwako kutakutambulisha kuwa unafanya vema, then hakuna dhambi". Ukijihisi kujuta, tayari wewe una majuto. Na majuto ni dhambi, kwa maana umeuweka moyo wako rehani, na ukinung'unika, sumu hukaa moyoni, moyo ukiwa ma sumu ya majuto yako, hudhoofisha ustawi wako kiakili na kimwili...ndo matokeo ya makunyanzi na kuzeeka ungali kijana....na mwisho ni kifo. NI KUTOKANA NA MAJUTO MOYONI MWAKO. Jifunze kufurahia maisha, jifunze kuondoa kinyongo moyoni. MAISHA NI MAZURI SANA...TENA NI MATAMU...hivo hivo ulivo.