usiogope life aint twice
kuna siku mtakuja humu kuuliza kuwa k iko wapi katika mwili wa mwanamkeHabari zenu wadau miss you sana.
Kuna huyu dada nampenda sana kupita mnavyofikiri anasifa zote nazohitaji ila kuna kasoro moja anangoma na kwa jinsi navyompenda nimeamua tu niwe nae.
Je will this change my life destiny or status.
Ukipenda ua penda na boga lake..Habari zenu wadau miss you sana.
Kuna huyu dada nampenda sana kupita mnavyofikiri anasifa zote nazohitaji ila kuna kasoro moja anangoma na kwa jinsi navyompenda nimeamua tu niwe nae.
Je will this change my life destiny or status.