NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
sasa kwa kua bado umekomaa naye.. endelea naye ndani ya miaka kumi na tano ijayo dawa ya ukimwi itakua ishapatikana, ka bado mtakua mko pamoja atatumia then utaangalia sasa cha kufanya
lkn kuna watu husema amekuta k ya mpenzi wake sijui imefanya nini...huwa wana maanisha nini!!k=ok=okay.
Ngoma kitu kaka! Ngoma yenyewe siku hizi ni photocopy tupu original ilishapotea! Ukiipata itakuwa photocopy ya photocopy! Its nothing, chukua kifaa jembe. Jembeee!!!
Tumia condom tu, wengi hatuziamini lkn unaweza oa kabisa na mkazaa watoto asikuambukize, kawaine wataalam watakusaidia.
Good idea! If "she is what you left with" in your life...then living has nothing to do with dying. Enjoy your life, wait for your death. Every human being is supposed not to wory about death...coz once you have life, second you have death. Get reach or die trying: by 50cet.
FOR YOU, from the botom of your heart is true that the precious item in your life is SHE. And she is there. Get her, DEATH HAS NOTHING TO DO WITH YOUR LIFE. Enjoy it while living.
Kama wewe ni group O hakuna cha kuogopa hapo!!!
Mkuu condom huwa tuna tumia mara ya kwanza pili ya tatu tunajipa moyo eti una muaandaa sana dem ili michubuko isiwepo baada ya hapo ikiwa tamu hukumbuki ata umate umate kua kauka!
sup wadau miss yah kinoma
kuna huyu dada nampenda sana kupita mnavyofikiri anasifa zote nazohitaji ila kuna kasoro moja anangoma ,na kwa jinsi navyompenda nimeamua tu niwe nae
je will this change my life destiny or status?
inataka moyo