SOLDIER GENIUS
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 358
- 242
Nahisi mapenzi yako kwake yanapungua,kwa sababu mpaka unaona kakuzidi umri baada ya miaka 3,je mwanzo hukuliona hilo?
Hujampenda sana, ili ni illusion tu. Wanaopenda sana hawaombi ushauri ila watu huwaomba wawapatie ushauri. Hence, mapenzi ni upofuNinampenzi ambaye tume dumu nae kwa miaka mitatu sasa tangu tuna anza nae alikua kabinti simple, ametulia, mpole ana sifa zote za kuitwa mke, interval yangu na yake ni miaka 3.Wasiwasi wangu nikwamba nahisi kimaumbile anasonga zaidi yangu japo si sana na itakuaje atakapo kuwa mke rasmi kwamba appearance yetu itakuaje.
Please ushauri wako mwana jf