Nampenda sana, ila amenizidi miaka 3

Nampenda sana, ila amenizidi miaka 3

Ninampenzi ambaye tume dumu nae kwa miaka mitatu sasa tangu tuna anza nae alikua kabinti simple, ametulia, mpole ana sifa zote za kuitwa mke, interval yangu na yake ni miaka 3.Wasiwasi wangu nikwamba nahisi kimaumbile anasonga zaidi yangu japo si sana na itakuaje atakapo kuwa mke rasmi kwamba appearance yetu itakuaje.

Please ushauri wako mwana jf


Kwani anakuwa kama sanamu la MICHELIN au?
 
Ninampenzi ambaye tume dumu nae kwa miaka mitatu sasa tangu tuna anza nae alikua kabinti simple, ametulia, mpole ana sifa zote za kuitwa mke, interval yangu na yake ni miaka 3.Wasiwasi wangu nikwamba nahisi kimaumbile anasonga zaidi yangu japo si sana na itakuaje atakapo kuwa mke rasmi kwamba appearance yetu itakuaje.

Please ushauri wako mwana jf

Wala hakuna tatizo,mbona nimewahi waona jamaa wengi tu wana wake zao waliowazidi umri,km umempenda kwelikweli suala la kutofautiana umri sio kikwazo cha kumuoa,lakini pia kwa wanawake wenye maumbile madogo huonekana wadogo daima hata km wana miaka mingi na mtu mwingine hawezi kujua km amekuzidi umi.
 
Umeshamshiba sasa unaanza kusikia kichefuchefu eeh? ulivyokua unabinjuka nae hukujua kama alianza kuona dunia kabla yako? au hujui kua hata mwanamke akuzidi vp kama mwanamme wakisawasawa aka RIJAL utaendelea kua mwanamme,na gume gume anabakia kua naniiii!!!!!!!
 
Mimi baba yangu alishanishauri kuwa wanawake wanawahi kufubaa mwanangu ukikua oa mwanamke amabaye umemzidi at least miaka kuanzia 8 hivi nami ni kasema sawa ""asiyesikia la mkuu huvunjika guu"""";mwanamke aliyekuzidi miaka mitatu huyo ni bibi yako tu.
 
Mkuu mimi kama nimekuelewa, tangu wanaanza mausiano alikua anajua umri wa uyo mdada mpaka anafikia uamuzi wa kuja kuomba ushauri ameshaanza kuona tofauti na hofu ya kumuona ndivyo sivyo.Kikubwa nafsi yake inasemaje moyo wake umeshaingia doa uyu jamaa.Kikubwa upendo haungalii mwili mkubwa wala umri.
Wafike wapi tena wakati inaonyesha jamaa kaisha mfanya binti wa watu mpaka kamchoka sasa anatafuta pakutokea tu?
 
Juniour12, nimeipenda hii amwambie ukweri nini afanye ili aendelee kumfurahia zaidi.
Kukua kwake kimaumbile kuna mahusiano gani na upendo wako kwako?...Does it mean umependa physical appearance yake?....Wat if ikatokea amepata ajali hana miguu utakuja kuomba ushauri?..maana hayo yote ni mabadiliko ya kimaumbile.

Anyway ngoja niende kwenye point ya msingi....It seems hujamzoea huyo mpenzi wako maana nilitegemea utuambie labda mmefanya efforts fulani na mwenza wako kuzuia ukuaji wake wa kimaumbile.

Design kama kuna picha naipata vileee....Umbo lake lina effect kwako kwenye mgegedano?...Usikute unashindwa kupekenyua ikulu vizuri kijana.....Maana haya maumbo makubwa yana hitaji technic ya hali ya juu.

Au ukuaji wake unakufanya uwe inferior pale unapo tembea nae maana unahisi watu wana kushangaa kwamba una tembea na jimama/dada yako or?

Pole kijana kaa na binti mwambie apunguze mwili coz utashindwa kumgegeda vizuri,mtashindwa kutoka,unaona aibu kutembea nae....Kama anakupenda atagundua u gt a point na atafanyia kazi maneno yako
 
Wala hakuna tatizo,mbona nimewahi waona jamaa wengi tu wana wake zao waliowazidi umri,km umempenda kwelikweli suala la kutofautiana umri sio kikwazo cha kumuoa,lakini pia kwa wanawake wenye maumbile madogo huonekana wadogo daima hata km wana miaka mingi na mtu mwingine hawezi kujua km amekuzidi umi.

thanks broo ntajtahd
 
Shauri yako miaka 2 tu mbele atakuwa baunsa na ukimchanganyia mada atakuwa anakudunda kama mtoto mdogo
 
  • Thanks
Reactions: ora
Ninampenzi ambaye tume dumu nae kwa miaka mitatu sasa tangu tuna anza nae alikua kabinti simple, ametulia, mpole ana sifa zote za kuitwa mke, interval yangu na yake ni miaka 3.Wasiwasi wangu nikwamba nahisi kimaumbile anasonga zaidi yangu japo si sana na itakuaje atakapo kuwa mke rasmi kwamba appearance yetu itakuaje.

Please ushauri wako mwana jf

Miaka 3 ndo unasema amekuzidi... Je ingekua >8, PIGA TU (PT) acha kumbwela mdogo wangu
 
Unashangaaa tofaouti ya miaka mitatu, we vipi bana embu muulize huyu msanii nani huyu......, mbona mkewe amemzidi ka sikosei miaka 9 au 8 hivi na wemezaa naye mtoto na mambo bado mkide. Kwani huliziki akikupa ile kitu...? Kinachotakiwa hapo cheki kama kweli bado unampenda hamna shida. Age is just a number, come on! Mfano wewe ukapata na malazi yasioambikiza ka kisukari vile, ulemavu wowote ule, kitambi basi na yeye akuache kweli. Acha kunamnyanyapaa mwenzio wakati muda wote huo wa miaka mitatu amekupa papuchi ukalidhika halafu unaleta sijui nini hapa jamvini..
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hana shida,,tena mwanamke akiwa mkubwa ndo bizuri hatakusumbua
 
Back
Top Bottom