Nampenda sana, ila amenizidi miaka 3

Nampenda sana, ila amenizidi miaka 3

Tafuta mwngne nlikuwa natafakar hapa jns mungu akiwajalia umr mrefu.mke wako km hautakuwa wewe ndo wakumhudumia!
 
kama hakuna tatizo jingine katika uhusiano wenu haina shida, umri ni no tu.
endeleeni kumtegemea mungu tu awafikishe pale mnapotamani kufika.

Wafike wapi tena wakati inaonyesha jamaa kaisha mfanya binti wa watu mpaka kamchoka sasa anatafuta pakutokea tu?
 
Siku ukisema cha nini ndio utajua kwamba tunasubiri tukipate
 
Kama humpendi mwache mdada wa watu,ila kama unampenda mfanyishe mazoezi kila cku na umwambie yakwamba hutaki awe hivvyo.
 
Back
Top Bottom