Nampenda sana, ila amenizidi miaka 3

Nampenda sana, ila amenizidi miaka 3

Realbest

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2013
Posts
812
Reaction score
301
Ninampenzi ambaye tume dumu nae kwa miaka mitatu sasa tangu tuna anza nae alikua kabinti simple, ametulia, mpole ana sifa zote za kuitwa mke, interval yangu na yake ni miaka 3.Wasiwasi wangu nikwamba nahisi kimaumbile anasonga zaidi yangu japo si sana na itakuaje atakapo kuwa mke rasmi kwamba appearance yetu itakuaje.

Please ushauri wako mwana jf
 
Inadepend na yeye mwenyewe je anajua suala zima la lishe bora? Kama anajua hata ukimuoa akazaa wtt watano anauwezo wa kubaki na umbo lake kama kawaida ubaya ni pale kama atakuwa anahusudu msosi na hafanyi mazoezi
 
Inadepend na yeye mwenyewe je anajua suala zima la lishe bora? Kama anajua hata ukimuoa akazaa wtt watano anauwezo wa kubaki na umbo lake kama kawaida ubaya ni pale kama atakuwa anahusudu msosi na hafanyi mazoezi

Thanks bibi com 4 ur adivice
 
Realbest
Nahic kimaumbile anasonga zaidi yangu
Hapo pekundu unamaanisha nini?
 
Last edited by a moderator:
leroy

Color i mean mke anazd kimaumbile kuwa mkubwa{anakua kwa kasi
 
Last edited by a moderator:
Upendo wa dhath ndo mcng,vingnevyo hata umezid kumi bado utajuta kuliko wa umbile kubwa.
 
leroy

Ananenepa Mwili
 
Last edited by a moderator:
Kama hakuna tatizo jingine katika uhusiano wenu haina shida, umri ni no tu.
endeleeni kumtegemea mungu tu awafikishe pale mnapotamani kufika.
 
kama hakuna tatizo jingine katika uhusiano wenu haina shida, umri ni no tu.
endeleeni kumtegemea mungu tu awafikishe pale mnapotamani kufika.

Asante sana IPOCK tanzania ingekuwepo nawashauri wa5 km ww ingekua mbele sana keep your good advice
 
Miaka mitatu mko pamoja, age difference haikukusumbua.

leo anaonekana anasonga sana kimaumbile.

ungekuwa ulishamwoa ungefanyaje na huo msongo wa maumbile?

siku utakapojua kwa nini unampenda, ndipo utakapoacha kumpenda.

love is blind.
 
Back
Top Bottom