Nampenda mume wa mtu

Nampenda mume wa mtu

mimi hizi account nishazisoma.....mwisho wa wiki wanaandika...natafuta mme....mara..nimempenda mme wa mtu.....mara. Nina mimba ya nan sijui......acheni kucheza na akili za watu....
 
mkuu compact huyu mpenzi wangu tunashindwana kwa sababu ya dini ndugu zangu hawataki kunifanyia sendoff sasa anataka nikaishi nae kama mume na mke ndipo tufunge ndoa baadae jambo ambalo mimi silitaki pia amekua mtu wa kunilaani sana kua amenisubir muda mrefu na ikumbukwe mimi Nina 24 years kipindi ananisubir nilikua mdogo sana sasa yeye ananiachia laana kila siku
Mambo yakulaaniana sahv vipii.. Huyo analake jambo usikimbilie ndoa Kama huna uhakika
 
nimeshampa na bado hajapoa


endelea kumpa jitutumue kabisa,,mtu ambae ameshaoa na wewe ukaenda kumpa jua kwamba unamnufaisha yeye zaidi,ni kwamba anabadilisha ladha tuu ya kidyudyu,akishakinai anaudi kwa mkeo,,ndio hapo sasa utajikuta umeliwaaaaa na kuachwa umeachwa
 
Umeshasema 'mume wa mtu', ni nini kisichoeleweka hapo?
 
ukishtuka kwenye hiyo ndoto tutaomba mrejesho
 
Back
Top Bottom