- Thread starter
- #181
pepo la nini mkuuHilo ni pepooo
pepo la nini mkuuHilo ni pepooo
nampenda sasaUmeshasema 'mume wa mtu', ni nini kisichoeleweka hapo?
Asante.....lakini nampendaNeno Moja tu kwako: POLE
Hili jambo ni "nene" unapaswa kuketi kwenye meza duara na mkuu "wakuswampa"!anataka niwe 2nd wife

jamani wadau nimetokea kumpenda mume wa mtu sana sasa sijui nifanyaje na yeye pia ananipenda sana na anasema atanioa je nikubali au niolewe tuu na mtu mwingine.
niposerious
we mwehu kweli eti amesema atakuoa...mi nilidhani unataka usemee kuchepuka nae tu nikuelewe tu kuwa unakula kinachotengenezwa na mwanamke mwenzio kumbe eti amesema atauoa...so we unaonaatakuoa au....? ok lanbda maaana inaruhusiwa wanne sehemu zinginejamani wadau nimetokea kumpenda mume wa mtu sana sasa sijui nifanyaje na yeye pia ananipenda sana na anasema atanioa je nikubali au niolewe tuu na mtu mwingine.
niposerious
anataka niwe 2nd wife
Jiweke nafasi ya mke wa huyo jamaa. Ninachokuhakikishia ni kwamba huyo jamaa hakupendi bali yupo na wewe kutimiza matakwa yake. Hatamuacha mke wake kwaajili yako hata siku moja. Funguka macho usepe katafute mume wako peke yako. Huu ushauri najua hutaufanyia kazi lakini baada ya miaka miwili mitatu utaukumbuka. All the best!Asante.....lakini nampenda
Asante mkuuJiweke nafasi ya mke wa huyo jamaa. Ninachokuhakikishia ni kwamba huyo jamaa hakupendi bali yupo na wewe kutimiza matakwa yake. Hatamuacha mke wake kwaajili yako hata siku moja. Funguka macho usepe katafute mume wako peke yako. Huu ushauri najua hutaufanyia kazi lakini baada ya miaka miwili mitatu utaukumbuka. All the best!
Hiko kichwa chako bora kitolewe tu maana hakuna namna........wewe ni kilaza wa hali ya juu........huko chuo ulienda kusomea umalayaa????nimempa jana wakati na post huu uzi
kwani kupewa dushe ni umalayaHiko kichwa chako bora kitolewe tu maana hakuna namna........wewe ni kilaza wa hali ya juu........huko chuo ulienda kusomea umalayaa????
nampenda jamani nampenda sanaMwanangu utakachopanda ndicho utavuna. Utakapoolewa na huyo mtu atqkuacha na kutafuta mwingine. Wewe hujiulizi tu kwa nini amemuacha mke wake akakupenda wewe. Muwe na huruma na wanawake wenzenu. Kama ni wewe mme wako anachukuliwa ungefanyaje. Kimbia haraka na utafute wa kwako. Jipime na ujiulize unayofanya na huyo mume wa mtu ni sawa?
Kwa hio huku umepanua miguu wakati huo huo uko na simu yako unaandika huu uzi.... Ndivyo hivyo mama eeh? Hatushindwi kukushauri tatizo hili ni jambo la kutunga.nimempa jana wakati na post huu uzi
Kwa hio huku umepanua miguu wakati huo huo uko na simu yako unaandika huu uzi.... Ndivyo hivyo mama eeh? Hatushindwi kukushauri tatizo hili ni jambo la kutunga.nimempa jana wakati na post huu uzi
ndio sasa Ule mgegedo nikaona niombe ushaurKwa hio huku umepanua miguu wakati huo huo uko na simu yako unaandika huu uzi.... Ndivyo hivyo mama eeh? Hatushindwi kukushauri tatizo hili ni jambo la kutunga.
Wacha masihara yako bwana?!???ndio sasa Ule mgegedo nikaona niombe ushaur