Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Kumbe ni TIA? Basi sawa...sioCBE
Kumbe ni TIA? Basi sawa...sioCBE
mkuu wewe ni KE au meNdiyo maana. Hivi mkuu unajisikiaje kulalwa na Mme watu?
Nasikia CBE wanatabia ya kujiuza halafu ni makahaba kubuhu. Tetesi lakiniKwanini unaogopa kukitaja chuo chako CBE??
Analalwa au wanalalana? Unataka kunambia hampi ushirikiano wa kumkatikia mauno??Ndiyo maana. Hivi mkuu unajisikiaje kulalwa na Mme watu?
Amekanusha yeye si mCBE. Sijui atakuwa m-IFM? Maana kasema chuo chake ni "maarufu" hapa mjiniNasikia CBE wanatabia ya kujiuza halafu ni makahaba kubuhu. Tetesi lakini
me sijasoma CBE mkuuNasikia CBE wanatabia ya kujiuza halafu ni makahaba kubuhu. Tetesi lakini
kwa hiyo mapenzi yako sasa hivi yapo kwa mume wa mtu na siyo kwa huyu jamaa aliekusubiri tokea ukiwa mdogo???mkuu compact huyu mpenzi wangu tunashindwana kwa sababu ya dini ndugu zangu hawataki kunifanyia sendoff sasa anataka nikaishi nae kama mume na mke ndipo tufunge ndoa baadae jambo ambalo mimi silitaki pia amekua mtu wa kunilaani sana kua amenisubir muda mrefu na ikumbukwe mimi Nina 24 years kipindi ananisubir nilikua mdogo sana sasa yeye ananiachia laana kila siku

wewe ni me si ndio![]()
![]()
![]()
mkuu majibu yangu justifies the means.
ndio mkuukwa hiyo mapenzi yako sasa hivi yapo kwa mume wa mtu na siyo kwa huyu jamaa aliekusubiri tokea ukiwa mdogo???![]()
Umesoma chuo gani? Lengo hapa ni kujua kama bado una bikira.me sijasoma CBE mkuu
Mkuu una file lolote lile kwenye Hosp ya Rufaa maarufu mkoani Dodoma?ndio mkuu
jamaniiiii mkuu nini maana ya ushauri....Kama ni uarabuni wewe unabakwa hadi kufa!!![]()
![]()
![]()
file la nini inamaana nisiombe ushauri kuomba ushauri ni dhambiMkuu una file lolote lile kwenye Hosp ya Rufaa maarufu mkoani Dodoma?
Naamini kabisa wewe si mjinga tu bali juha kabisa. Unamuacha mwanamme mseja kisa Mkristo halafu unaangukia kwa Mwanaume mwenye mke ambaye pia ni Mkristo. Huu ni ujuha uliopitiliza.yeye pia ni mkristo
bikira ninayoMkuu una file lolote lile kwenye Hosp ya Rufaa maarufu mkoani Dodoma?
Wewe kwa nini unamwacha jamaa yako wa mda mrefu halafu unapapatikia mume wa mtu!jamaniiiii mkuu nini maana ya ushauri....

ndo maana nikaomba ushauri tatizo moyo sio ujingaNaamini kabisa wewe si mjinga tu bali **** kabisa. Unamuacha mwanamme mseja kisa Mkristo halafu unaangukia kwa Mwanaume mwenye mke ambaye pia ni Mkristo. Huu ni ujuha uliopitiliza.
Nakushauri zaa na huyo Mme wa Mwanamke mwenzio kwani mtoto akulia wembe na apatiwe.
Bazazi ni Bazazi!