- Thread starter
- #121
mimi ni KE mkuu hata Id yangu inajielezaMwandiko wa kiume kabisa huu!
mimi ni KE mkuu hata Id yangu inajielezaMwandiko wa kiume kabisa huu!
Sasa unangoja nini kuja pm au kuweka tangazo love connect kua unataka mpenzi? Na huyo si umeshajua ana mke?bado sijaolewa
Nadhani kwa kuwa umeamua kutoka na Mme wa mtu tegemea kufumuliwa malindaninayo bikira mkuu
Nadhani kwa kuwa umeamua kutoka na Mme wa mtu tegemea kufumuliwa malinda

Kuhalalisha maamuzi yako ya kijuha. Haiwezekani ukamkimbia Mkristo Bachelor na ukakimbilia kwa Mkristo Married kama hakuna sababu nzito na sababu NZITO ni MALI!jamani mbna sina tamaa na mali mbna watu wengi wenye mali nawaona? why binadamu mnagugde hivyo? ningekua nataka mali hapa kwenye jukwaa ningekuja kufanya nini
Umeshamvulia pichu?jamani wadau nimetokea kumpenda mume wa mtu sana sasa sijui nifanyaje na yeye pia ananipenda sana na anasema atanioa je nikubali au niolewe tuu na mtu mwingine.
niposerious
Mwandiko wa kiume kabisaninayo bikira mkuu
sababu sio mali labda ungeniuliza nikakwambia sababu ni nini ingekua mali nisingekuja hapa kuleta huu uziKuhalalisha maamuzi yako ya kijuha. Haiwezekani ukamkimbia Mkristo Bachelor na ukakimbilia kwa Mkristo Married kama hakuna sababu nzito na sababu NZITO ni MALI!
I hate moneymongers na wanaotafuta sababu za kuhalalisha tamaa zao za mali. I hate them most.
Bazazi ni Bazazi
wanaume wangapi wanamali si ningewafataKuhalalisha maamuzi yako ya kijuha. Haiwezekani ukamkimbia Mkristo Bachelor na ukakimbilia kwa Mkristo Married kama hakuna sababu nzito na sababu NZITO ni MALI!
I hate moneymongers na wanaotafuta sababu za kuhalalisha tamaa zao za mali. I hate them most.
Bazazi ni Bazazi
Unachopinga ni nini? Leta sababu ya kumkataa huyo Mkristo Bachelor na kisha leta sababu ya Kumkubali Mkristo Married! Kwangu ningekuelewa uzuuuri ungalisema Nimemkubali Muislamu Married (nimempenda mume wa mtu). Kwasasa wewe ni msakamali tu.wanaume wangapi wanamali si ningewafata
She is just 24..... Hana uelewa wa uhalisia wa maishaHaupo serious kabisa.
Yaani unampenda mtu tiyari keshaoa halafu anakwambia anakupenda na wewe unamuamini?
Unadhani ipo siku atamuacha mkewe akuoe wewe?
Usijidanganye ndugu kama kuna mtu mwingine anakupenda na ana nia ya dhati kukuoa olewa nae achana na ndoa za watu.
Huyo mwanaume anakushika masikio tu hapo hana lolote siku ya siku utakosa pwani na bara.
Mwambie uzae nae kwanza ili akupende zaidi. Nina dada angu [color=blue]Numbisa[/color] atasimamia kushauri
Sawa mkuu nimekuelewaMiaka 24 una complicate mambo ivo ukisubir mme wako utapungikiwa nn
si ndo najipanga mkuuMiaka 24 una complicate mambo ivo ukisubir mme wako utapungikiwa nn
unajipanga kwa mme wa mtu? kumbuka na ww utaolewa watajipanga kwa mmneosi ndo najipanga mkuu