Rais2020
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 3,248
- 5,537
Mkuu inaonekana unasumbuliwa na pepo la ngono. Kama ukishindwa kufunga ndoa na Msaada; Ninataka kufunga ndoa lakini mpenzi wangu ni dini tofauti na yangu je,ulikosa mtu ambaye ni wa dini yako na yupo single. Acha single mothers waongezeke kumbe hujitakia wenyewe.jamani wadau nimetokea kumpenda mume wa mtu sana sasa sijui nifanyaje na yeye pia ananipenda sana na anasema atanioa je nikubali au niolewe tuu na mtu mwingine.
niposerious
Ivi mkuu una element za umalaya?