Nampenda mume wa mtu

Nampenda mume wa mtu

ni kuzini pia kugongwa na single ni kuzini pia kote ni kuzini tuuu...mimi sina shida na mali mkuu kwetu tuna mali nyingi tuu naangalia upendo na ndo maana naomba ushauri
Hizi ni akili za kijinga sana "kwetu"?? Sio "kwako" maliza Shule kwanza maana unaonyesha huna Mbele wala nyuma
 
Mkuu hauzini kweli kufanya hivo?
Kama jibu ni ndiyo Muogope Mungu wako na kama jinu ni hapana endelea ila ujue kuna kumwagiwa tindikali
mkuu mfano nikidate na single boy ntakua si zini
 
nimeshamaliza chuo mkuu
Tulia upate kazi, uanze maisha yako ujijenge na baada ya hapo utampata chaguo lako wa kufanana nawe,huyo bwana atakutumia na kukuchakaza mwishowe atarudi kwa mkewe! Anajua udhaifu wa ma binti wengi wa sasa watajie ndoa,utawapata kwa bei nafuu sana kama alivyokupata wewe. Kikubwa achana nae Mara moja anakutia tu mkosi na maisha yako yote ndoa utaja isikia kideoni
 
Inategemea na dini zenu... Kama dini inaruhusu.. Na unakubali kuwa mke wa pili hayo ni matakwa yako...


Cha muhimu usimvurugie mke mkubwa tu...
 
Pole sana. Anakuchezea huyo. Keshaona akili yako sio ya kijanja so kapenyeza ndoa umchanulie apate anachokitaka. Girl be careful, extra careful

Hehehehee kwahiyo angekuwa mwislamu ndio asingemchezea?? Linapokuja swala la uzinzi unadhani kuna tofauti kati ya mktisto na mwislamu??

We mdanganye mwenzio tu. Shauri zako akihamia kwako.
 
Tulia upate kazi, uanze maisha yako ujijenge na baada ya hapo utampata chaguo lako wa kufanana nawe,huyo bwana atakutumia na kukuchakaza mwishowe atarudi kwa mkewe! Anajua udhaifu wa ma binti wengi wa sasa watajie ndoa,utawapata kwa bei nafuu sana kama alivyokupata wewe. Kikubwa achana nae Mara moja anakutia tu mkosi na maisha yako yote ndoa utaja isikia kideoni
Asante madame
 
Back
Top Bottom