excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
pole.....jamani wadau nimetokea kumpenda mume wa mtu sana sasa sijui nifanyaje na yeye pia ananipenda sana na anasema atanioa je nikubali au niolewe tuu na mtu mwingine.
niposerious
pole.....jamani wadau nimetokea kumpenda mume wa mtu sana sasa sijui nifanyaje na yeye pia ananipenda sana na anasema atanioa je nikubali au niolewe tuu na mtu mwingine.
niposerious
nishauri tuu hapa kuna watu wana tatizo kama langu wanaogopa kusema utakua umewasaidia pianjoo inbox nikupe ushauri!
niko serious kabisa tuchki!
sasa cheupe,umeshasema mme wa mtu!!!!,tafuta wako acha kuvunja ndoa za watu, ingekuwa ni wewe alafu usikie mume wako anataka kuoa mwanamke mwingine ungejisikiaje?????????
hata hivyo anataka nizae nae
yeye pia ni mkristoKama nyie wote ni waislam olewa tu hata mke wa nne
una umri gani tuchi?nishauri tuu hapa kuna watu wana tatizo kama langu wanaogopa kusema utakua umewasaidia pia
miaka 24una umri gani tuchi?
tuanze mdogo mdogo
yeye pia ni mkristo
anataka niwe 2nd wife
miaka 24? sawa, unajihusisha na nini huko uliko?miaka 24
nipo home tuu nimemaliza chuo mwaka jana natafuta ajiramiaka 24? sawa, unajihusisha na nini huko uliko?
daah aiseeeePole sana. Anakuchezea huyo. Keshaona akili yako sio ya kijanja so kapenyeza ndoa umchanulie apate anachokitaka. Girl be careful, extra careful
sikiliza my dear, huyo anaekupenda sana nawe unaempenda,nipo home tuu nimemaliza chuo mwaka jana natafuta ajira
najaribu kuku pm inakataa....naomba tuongee pm pleasesikiliza my dear, huyo anaekupenda sana nawe unaempenda,
si kosa kisheria kupendana, ninyi wote si wanafunzi, mmeshajua mnatenda nini,
mwambie kwanza akutafutie ajira, ujihakikishie usalama wako wa maisha....
Jambo la kwanza hilo...umenisoma?
miaka 24? sawa, unajihusisha na nini huko uliko?
miaka 24
hayajakukuta mkuu ndo maana unasema hivyoHiz nazo paukwa pakawa