Nampenda mamdenyi na miss chaga

Nampenda mamdenyi na miss chaga

Mamndenyi juzi alikua analalamika mtoto wake wa nne amenyimwa mkopo nikawaza na kuwazua nikafundua mtoto wake wa kwanza simkuti
 
Last edited by a moderator:
Hawa kweli ni wa kuheshimiwa maana maneno yote haya wameamua kuyameza kimya kimya kweli wanastahili heshima
 
MO11 unaweza kuwa hata mjukuu wangu;
Nimeshakulapo munyu ya kutosha.
Mamndenyi juzi alikua analalamika mtoto wake wa nne amenyimwa mkopo nikawaza na kuwazua nikafundua mtoto wake wa kwanza simkuti
 
Last edited by a moderator:
KUNDULE,
Hivi jina lako la zamani lilikuwa ni nani?
Unapoishi siyo tatizo sana inajulikana ni humu humu JF.

Nimeona humu kuna wadada ambao wana Hekima mfano; hawo niliowataja natamani wangekuwa wapenzi wangu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom