Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Monicca kama unampenda halafu ukagundua yafuatayo utafanyaje?
*hana hela
*ana kitambi bonge
*ana kibamia
 
Wakuu hbr zenu!

Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.

Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.

Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.
Mi nitafikisha ujumbe....na wala sihitaji malipo...ahsante itanitosha tu
 
Pole. Ile gari ya juzi sio yangu, niliazima kumpeleka mginjwa hospital
 
Wakuu hbr zenu!

Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.

Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.

Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.
pole jamani si bora umtaje
 
Nasikia una mpango wa kuanza kuwapenda wanawake wa JF na unataka uanze na Miss Natafuta,haya madai yana ukweli wowote mkuu?[emoji1]
 
Nani amtake huyo msema hovyo loh!
Ni kweli mimi ni msema ovyo ila sitendi ovyo wewe siyo msema ovyo ila ni mtenda ovyo hadi watu hawaamini kuwa wewe unaweza kuwa mwanamke, karibia kila mtu hapa JF anaamini kuwa wewe ni mwanaume kutokana na uyatendayo hakuna mwanamke ambae atazubutu kuyatenda!!!....nani ana afadhali hapo??
 
Back
Top Bottom