leah2
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 584
- 1,441
Haswaa shostInaonekana bila kumjua moniccca hujawa member mzuri wa MMU
Haswaa shostInaonekana bila kumjua moniccca hujawa member mzuri wa MMU
PoleHivi kumbe mnajuana humu ndani miye simjui yeyote humu ndani. Mpaka penzi linazaliwa kwa kweli hongereni.
Ww niambie tu nitakuelewaNamna ya kuanza mkuu
Kwani niwewe v2d?Ww niambie tu nitakuelewa
Ungeenda kuisubiria kwenye jukwaa la uchumiNaisubiria Tanzania ya uchumi wa kati
Nahisi ni mimiKwani niwewe v2d?
Jitunze.. Huenda na yeye anakufuatilia....!Wakuu hbr zenu!
Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.
Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.
Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.
njoo geto nikuelezee.Hatari gani?