Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Wakuu hbr zenu!

Kuna kijana mwana MMU mwenzetu namzimia sana, ni mpole post zake zimejaa hekima na hajawahi kutukana, nimejitahidi kutupia vipost ili nayeye aje angalau lkn wanakuja nisiyo wapennda.
Naomba mnisaidie kumwambia plz maana moyo wangu krbu upasuke.

Atakaye nifikishia ujumbe huu ntampatia zawadi nono.

Mwambie yeye ndiyo pumzi yangu ntakufa kama akinikataa
Chonde chonde nisaidieni wakuu.
Ndiyo huyu Monica aliyekuwa ameolewa?
Tena na zile thread zake za sperm zinamchoma na alikuwa ana mlalamikia jamaa ana mcheat?

Km ndiyo ww kuchepuka siyo suluhu la ndoa yako kuwa na amani na furaha. Kuliko kuwa na maumivu ya kila siku na kutaka kulipiza kisasi kwa jamaa bora muachane uwe huru na uishi bila ndoa hata km ukirudi saa 10 usiku hakuna atakayekuuliza
 
Ndiyo huyu Monica aliyekuwa ameolewa?
Tena na zile thread zake za sperm zinamchoma na alikuwa ana mlalamikia jamaa ana mcheat?

Km ndiyo ww kuchepuka siyo suluhu la ndoa yako kuwa na amani na furaha. Kuliko kuwa na maumivu ya kila siku na kutaka kulipiza kisasi kwa jamaa bora muachane uwe huru na uishi bila ndoa hata km ukirudi saa 10 usiku hakuna atakayekuuliza
Sawa mkuu
 
duuuh hiii ya leo kal na kuwasema kote wanaume lakin na wew unadata tena kwa Post tu hehehehe Wonders Shall Never End kwakwel
 
Back
Top Bottom