Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Nampenda lakini naogopa kumwambia!

Umenikumbusha wimbo wa Marehemu Remy Ongala wa "Ujana maji ya moto"....."Nikikumbuka uzee nalia, ujana maji ya moto ujaanax2"
 
We hutukanagi?
Umenikumbusha kitu..wakati nikiwa mdogo mama aliniambia nikitukana mdomo utaenda upande basi nikawa naogopa sana kutukana ..baadae nikaona wenzangu wanatukana na midomo haiendi upande..
Nikasema namm ntajaribu nione..siku moja nikiwa na hamu yakutukana nikachagua tusi gumu sana hata kulitamka..nikamtukana mama mwenyewe aliyeniambia nikitukana tu mdomo utaenda upande..nikalifyatua ..wewe... kilichofuata hapo siwezi hata kukisema... sikuwahi kutukana tena mpaka leo.
 
Umenikumbusha kitu..wakati nikiwa mdogo mama aliniambia nikitukana mdomo utaenda upande basi nikawa naogopa sana kutukana ..baadae nikaona wenzangu wanatukana na midomo haiendi upande..
Nikasema namm ntajaribu nione..siku moja nikiwa na hamu yakutukana nikachagua tusi gumu sana hata kulitamka..nikamtukana mama mwenyewe aliyeniambia nikitukana tu mdomo utaenda upande..nikalifyatua ..wewe... kilichofuata hapo siwezi hata kukisema... sikuwahi kutukana tena mpaka leo.
Ha ha haa basi we toto zuri
 
Kwa ushauri wangu tu.

Binafsi naona ni busara na hekima ungemwendea pm ukaanzisha chart.
Ukiona anakupa ushirikiano mzuri katika chart basi mzoee kistaharabu
Zungumza nae mengi mwishowe badilishaneni namba za simu, na mkaongea ingekuwa rahisi mno kama mtapeana namba za simu pm.
Then mweleze hisia zako usisite kumwambia kile kilichopo moyoni mwako,
Mwambie ukweli kuwa umempenda nafikiri atakuelewa zaidi.
Kujaribu sio kushindwa,
Jaribu atakuelewa tu.
 
Back
Top Bottom