Nampenda FaizaFoxy

Nampenda FaizaFoxy

yaani sipati picha jinsi itakavokuwa party ya mmu ikifanyika je elia akikutana live na faizafoxy atamweleza live maneno aliyoandika hapa? bado nawaza party ya jamii forum tukiwa jamvini itakuwaje......... sipati picha
 
Binafsi namkubali sana FAIZA FOXY nikikutana na comments zake lazime nitulie kidogo...ama kweli ni gwiji,celebrity au mtu wa ukweli ndani ya JF anaebisha na abishe
 
Wanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, Nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa… nahisi namuogopa au nampendea sana.. lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,

Quick analysis..?

Hisia hasi za Chuki, Woga , Shaka ... nk nikama sumaku ... HUVUTA.. na Kushikila ... Hatimaye kupumbaza ...na Huo mshikamano kuonekana ...UPENDO ...haha hah!!

Honestly..? ... Its a false LOVE ... LOVE HATE RELATIONSHIP!!

Umesikia ndoa zimedumu dk 5 au siku 7 tu ... kachunguze walichukina hadi kuoana kwa upendo wa hisia hasi!!
 
Quick analysis..?

Hisia hasi za Chuki, Woga , Shaka ... nk nikama sumaku ... HUVUTA.. na Kushikila ... Hatimaye kupumbaza ...na Huo mshikamano kuonekana ...UPENDO ...haha hah!!

Honestly..? ... Its a false LOVE ... LOVE HATE RELATIONSHIP!!

Umesikia ndoa zimedumu dk 5 au siku 7 tu ... kachunguze walichukina hadi kuoana kwa upendo wa hisia hasi!!

mkuu unaweza kuwa unampenda mtu lakini kila ukikutana nae hana habari na wewe sembuse kukusalimia, utaanza kumuona kama anaringa, anajisikia, anadharau nk nk... siku mambo yaki change.. the truth come out. IS NOT love hate... is LOVE
 
Quick analysis..?

Hisia hasi za Chuki, Woga , Shaka ... nk nikama sumaku ... HUVUTA.. na Kushikila ... Hatimaye kupumbaza ...na Huo mshikamano kuonekana ...UPENDO ...haha hah!!

Honestly..? ... Its a false LOVE ... LOVE HATE RELATIONSHIP!!

Umesikia ndoa zimedumu dk 5 au siku 7 tu ... kachunguze walichukina hadi kuoana kwa upendo wa hisia hasi!!

ulikuwa wafukuzwa kukosea kosea hapo chini WALICHUKINA ni lugha gani?
 
yaani sipati picha jinsi itakavokuwa party ya mmu ikifanyika je elia akikutana live na faizafoxy atamweleza live maneno aliyoandika hapa? bado nawaza party ya jamii forum tukiwa jamvini itakuwaje......... sipati picha

nitaridhika kumuona tu litakuwa kama Bonge la show.....
 
ulikuwa wafukuzwa kukosea kosea hapo chini WALICHUKINA ni lugha gani?

Asante sana mkuu .. watu alwayz wanafikiria negative Hope mwenyewe atakuja hapa anipe japo kijineno kidogo
 
mkuu unaweza kuwa unampenda mtu lakini kila ukikutana nae hana habari na wewe sembuse kukusalimia, utaanza kumuona kama anaringa, anajisikia, anadharau nk nk... siku mambo yaki change.. the truth come out. IS NOT love hate... is LOVE

LosZ... Elia ..Elia... Your n Love Mkuu ... hongera..!! Nakubaliana na hiyo ... hiyo ipo!!

Kuna vesion nyingine ya the same thing!! Pata muda google ... stockholm syndrome .. Story mateka waliogopa, chukia, shaka sana ..hadi kupendana sana ..! Of course this is extreme case!!... but you get something or two to learn out of our emotions!!
 
Wanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, Nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa… nahisi namuogopa au nampendea sana.. lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,
I mis some point here, wewe unaipenda Avatar yake au Username yake? nashindwa kabisa kuelewa hii kitu, labda tungekuwa facebook angalau ningeweza kukuelewa, hapa kuna ID zinatumiwa kama taasisi ziko oparated na zaidi ya watu 10.
 
Binafsi namkubali sana FAIZA FOXY nikikutana na comments zake lazime nitulie kidogo...ama kweli ni gwiji,celebrity au mtu wa ukweli ndani ya JF anaebisha na abishe
Haya ni maoni yako, usilazimishe watu wote wawaze kikasuku kama wewe.
 
Wanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, Nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa… nahisi namuogopa au nampendea sana.. lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,
Ebu fafanua kijana... umejiandaandaaje?
 
wanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa… nahisi namuogopa au nampendea sana.. Lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,
una mashetani
 
Wanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, Nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa… nahisi namuogopa au nampendea sana.. lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,

Nimefurahi sana kwa kuwa umenipenda baada ya kunichukia, inaonesha kuwa u binaadam wa kiwango cha juu. Zidisha kunipenda na usingoje nami nikupende ili unipende, ukipenda wewe penda tu. Ahsante kwa kunipenda.
 
Hata yeye FAIZA FOXY kasema ananipenda sana, usiku halali ananiota mimi. Akifungua kitabu chake chenye maandashi ya Kiarabu, anaona kuanzia sura ya kwanza hadi ya mwisho jina langu tu

Kama una maanisha Qur'an. Full Stop. Utanifanya nisikupende, niambie kuwa ulikuwa humaanishi Qur'an ili niendelee kukupenda.
 
Haya ni maoni yako, usilazimishe watu wote wawaze kikasuku kama wewe.

we unamawazo ya kibundi bundi...hulazimishwa kuiquote comment yangu bhana we vip...maana ya anaebisha na abishe waijua? We p***vuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom