FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Mi nampenda anavyoandika kiswahili, na ana macho mazuri kwa mujibu wa Avata yake. Ila simpendi kwa sababu ya UDINI uliomjaa toka kichwani mpaka miguuni. BTW: NI MAMA NA MWALIMU MZURI KWETU SISI.............. Long live FF😛oa
Ahsante kwa sifa zote njema, halafu kiswahili ndio niko very weak, loh, sijisifu lakini kiswahili hiki si cha kusoma ni lugha mama. Mimi nilisoma shule zinazofundisha Kiingereza, na huko ni mzuri sana kuliko Kiswahili.
Kuhusu hilo la udini, ni sifa kubwa sana kuambiwa mdini kuutetea Uislaam wangu nashangaa Muislaam anapoipenda dini na kuitetea dini yake anaitwa mdini lakini Nyerere anapotaka kupewa utakatifu anakuwa sio mdini! Umeshajiuliza hilo? Faiza akivaa hijab mdini, wale ma nun wakivaa hijab wanakuwa ni wadini pia?I