Wanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, Nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa nahisi namuogopa au nampendea sana.. lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,
Jamani FF ni dume, tena dume la mbegu!!! Anajifanya tu kama mwanamke!! Shauri yenu!!!
"Ukiona manyoya.....!?Ahahahaaah!! umejuaje??
Jamani FF ni dume, tena dume la mbegu!!! Anajifanya tu kama mwanamke!! Shauri yenu!!!
Aaaaaaaah, Tafadhali Bw. huyu bibie kama ni m/ke kweli hata mimi nampenda.Napenda kusoma maoni yake ya kipuuzi, aliyoyapata kutoka kwa wapuuzi wenzake.Ila nilimpa ushauri wa bure kuwa abadilike kwa kusoma walau mawazo ya WANASOMIAMBAO HAWAJAFUNIKWA NA UKOKO WA UDINI, maana yeye kila kitu kwake ni udiniudini udini. Nikisema umenikanyaga. Yeye ataangalia nani huyo ni dini yake au no, vinginevyo utasikia sisi tunaonewa, ukimuuliza kivipi hana majibu. Na siku hizi wana neno lao wanasema sijui Mfumo gani ule? eti ndio unatawala.WAnadhalilisha watu kweli, wanawafanya walio madarakani ni maboya.Sijui dhambi hii wataitubia wapi?hata hivyo napenda upupu wake. BIG UP F.FOXY enjoy the day, if you canfaizafoxy anaweza kuwa ni jini
Aaaaaaaah, Tafadhali Bw. huyu bibie kama ni m/ke kweli hata mimi nampenda.Napenda kusoma maoni yake ya kipuuzi, aliyoyapata kutoka kwa wapuuzi wenzake.Ila nilimpa ushauri wa bure kuwa abadilike kwa kusoma walau mawazo ya WANASOMIAMBAO HAWAJAFUNIKWA NA UKOKO WA UDINI, maana yeye kila kitu kwake ni udiniudini udini. Nikisema umenikanyaga. Yeye ataangalia nani huyo ni dini yake au no, vinginevyo utasikia sisi tunaonewa, ukimuuliza kivipi hana majibu. Na siku hizi wana neno lao wanasema sijui Mfumo gani ule? eti ndio unatawala.WAnadhalilisha watu kweli, wanawafanya walio madarakani ni maboya.Sijui dhambi hii wataitubia wapi?hata hivyo napenda upupu wake. BIG UP F.FOXY enjoy the day, if you can
Hata yeye FAIZA FOXY kasema ananipenda sana, usiku halali ananiota mimi. Akifungua kitabu chake chenye maandashi ya Kiarabu, anaona kuanzia sura ya kwanza hadi ya mwisho jina langu tu