Nampenda FaizaFoxy

nitaridhika kumuona tu litakuwa kama Bonge la show.....

Ukitaka kuniona mbona sahali (rahisi) sana, nilishawahi kuwaelekeza humu namna ya kuniona, ulikuwa hujaisoma hiyo post< ngoja bujibuji aje kukumbusha.
 
Wanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, Nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa&#8230; nahisi namuogopa au nampendea sana.. lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,

Mavazi ya kike, sura dume??? umejiandaaandaaje??? Cameroon style au???

 
Mi nampenda anavyoandika kiswahili, na ana macho mazuri kwa mujibu wa Avata yake. Ila simpendi kwa sababu ya UDINI uliomjaa toka kichwani mpaka miguuni. BTW: NI MAMA NA MWALIMU MZURI KWETU SISI.............. Long live FF:poa
 
Back
Top Bottom