jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Faiza,Naomba kailete na kwanini hao walioanzisha fujo wakakimbilia Hospitali ndio wao wanaupendo? Walikuwa hawajui kuna watoto na wajawazito mule? Halafu zile zote zilikuwa ni "propaganda". Kumbuka, huwa sidanganyiki na kauli kama zile ambazo hutumika kwenye machafuko ili zipate kuchota hisia za watu ili Serikali wanaotuliza zile fujo waonekane ni wanyama, labda uwadanganye wengine, mimi dunia nimeiona zamani.
Kubali tu kuwa maneno yale hayakuwa maneno yenye upendo,mimi sina shida na propaganda...Ila ya kwamba na wewe una upendo si propaganda?
So dont i have the right ot refuse the propaganda?
Wewe umefundishwa na nani kuwa kusema kina mama wajawazito wapigwe mabomu ili wazae watoto fyatu ni propaganda hiyo?
Chuo cha magamba?Lol!