Mkuu husali tu kawaida tangu utotoni nilikuwa naona hivo vitu aisee Hadi maza jirani mwanga alikuwaga ananivhukua kwake kila akitaka kunikata ulimi wangu ulimi unateleza anashindwa mpaka nimekuwa Kuna ntu aliniombea nisiwe naona ila baada ya mda business as usual. SEMA kuona hivo huleta shida sana bana.Mimi mbona sivion Ni kwamba wewe Ni MCHAWI au mlokole MWENYE hofu ya Mungu cariha
Asante sana mkuu. Ngoja maelekezo haya nimwachie ndugu yangu ili kama nitauliwa kichawi nikamnyooshe alieniua!!!
Na hii utapinga
Hata wewe ukija kichawi nakuona hivi kuna dawa ya kuzuia hali hii
Takupitia nite moja twende tukaivinjari duniaHata wewe ukija kichawi nakuona hivi kuna dawa ya kuzuia hali hii
Usingizi ulivyo mtam hapana kwa kweli
Endelea kumuamini Mungu, watakaa vikao vyote hawatawezaYani wakiamua kukuanzishia noma lazima uage dunia au uame mkoa noma lao ni wakishindwa level ya mkoa wa enda level ya kanda mpaka ya taifa.. Wakishindwa wanaenda kimataifa kabisa
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Ukiwa na roho ya kishirikina utatamani uone hata vile ulivyowekewa mipaka.ni kutafuta matatizo tu unapolazimisha kitu kufanya kazi zaidi ya uwezo wake
Sasa kama macho yameshindwa kuona katika hali yake ya kawaida kwann uyalazimishe kufunguka zaidi ya hapo
Ukiwa na roho ya kishirikina utatamani uone hata vile ulivyowekewa mipaka.ni kutafuta matatizo tu unapolazimisha kitu kufanya kazi zaidi ya uwezo wake
Sasa kama macho yameshindwa kuona katika hali yake ya kawaida kwann uyalazimishe kufunguka zaidi ya hapo
Mkuu post yako hii nimeichukua naihifadhi.
Ni kumcha Mungu tu.Hii ilishamtokea shemeji yangu alikuwa anatisha kwa uganga eneo flan.akawatibu watu waliologwa.wale wachawi wakachukia wakaanza kumkalia kuanzia kikao cha kata mpaka cha kitaifa ndio wakumuweza.sikuamini kwa jinsi nilivyokuwa naujua ujuzi wake.wakawa wamempofusha kichawi.alikaa miezi 2 bila kuona.mizimu yake ikaanza kumponyesha kupitia wateja anavyowapa tiba ndio huo mchanga wa kichawi machoni ukawa unadondoka.hatimae akaona.wale wachawi wa kijiji hicho waliomkalia kamati walivyopata taharifa wakakimbia akabaki 1.alianza kufa mmoja mmoja mpaka Leo nauogopa uchawi.uchawi ni kitu kimoja hatari sana.haijalishi upo umbali gani anakufanyizia tuu.wengine hata uwe na kinga wanakupiga tuu,huwa ni hesabu tuu.hvyo usitake kuwafukunyua hawa watu,hawanaga dogo.watayaharibu maisha yako yote yawe ya laana
Mkuu kusema mzizi wa kisamvu ni chakula na shina ni kuni, utakuwa 'umebonyeza sana' bhana!
Aseme kwa kushuhudia aliyekwisha kula mzizi wa kisamvu na akapikia matawi yake hadi kuivishia chakula mf: ugali!
Akili anazo.Akili huna wewe
Kacopy Fb group inaitwa tiba asiliNilijua umeshafanya na ukawaona hao wachawi, kumbe unasubiri mrejesho wakati wewe ndiyo umetoa mbinu ya kuwaona wachawi!!! Bila shaka kuna Shehe au mtu amekusimulia au kuna mahali umecopy.