Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukichanjwa nibunajitafutia majanga makubwa sana.. Ukiwekewa dawa ya kuwaona wachawi ni kujichimbia kaburiHuwezi kuwaona wachawi bila kutumia nguvu za giza. Kama hujawahi kwenda kwa mganga, basi ukiwa mdogo ulichanjwa na dawa za kujikinga na uchawi mbaya zinazokupelekea kuwaona wachawi.....
Sihifaham mkuu
Unataka kuutumia wapiMim nataka mtu anifundishe uchawii
Au niende wapi nikajifunze hivyo tu yaan
Me pia vivyo hivyo japo niwaone tuPole sana mpendwa wangu ishaalah zitatatulika ila mimi sio mtaalamu bali nina uwezo wa kuona nikilala then wakija wachawi.
Sasa walikuongelesha vp kama walishindwa kuingia kwako!Juzi walikuja kama wanne kwangu wakashindwa kuingia nyumbani. Halafu wakiwa wanakuongelesha wanakua kama wananong'ona hivi
duhUtarukwa na akili kwakuwa hutawaona wachawi tuu.. Utaona mpaka viumberoho wengine wenye kuogofya mno..!!!
Nknk
Vichaa huona nini?
Hahaha ni kichaa maarufu wa siku nyingi sana mitaa ile umeshindwa hata kunipatia mwanga kweli mkuu...Dah hakuwa kichaa kabisa huyowww.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
PopoteUnataka kuutumia wapi
HapanaPopote
Unaujua?
Dah Mimi sipendi hyo hali naona ndio na hushindwa kunifanya kitu shida nikuanza kukuchukia bila sababu na kueneza sumu kwa watu za uongo, na wengi hufikiria nimechanjwa kumbe ndio nilivo zaliwa tangu utoto na sijawahi chanjwa, watu huniambia macho yako hayo sio mazuri kuona lohNapenda Sana NINGEKUWA Kama wewe ningeomba neema kwa Mungu anizidishie nguvu Mara Mia niwatese kwa nguvu za Kimungu. cariha
wewe umewahi kujaribu?Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza
Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu
Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni
Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.
Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo.
Sharti
1. Usiwe muoga
2. Utakapowaona usikimbie wala kuonesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka
Tahadhari
Ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi, ili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote
MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri
~Kamua ili upate maji yake
~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia
Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda, pia hata ukiwa ndani umelala kama watakuja utawaona
Zingatia masharti.
Leteni mrejesho mtakao waona
Masharti na vigezo kuzingatiwa...Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza
Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu
Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni
Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.
Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo.
Sharti
1. Usiwe muoga
2. Utakapowaona usikimbie wala kuonesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka
Tahadhari
Ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi, ili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote
MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri
~Kamua ili upate maji yake
~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia
Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda, pia hata ukiwa ndani umelala kama watakuja utawaona
Zingatia masharti.
Leteni mrejesho mtakao waona
we mwanamke kiboko umeokoka nini?Kuna kipindi nilikuwa naona wachawi eeh bana siku hyo kariakoo si nikawa naona vitu vya ajabu nikishtuka vinapotea, aisee kumbe kariakoo ule wingi wa watu Kuna viumbe vya ajabu sana kule.
Dirishani Mzee wangu. Kuelezea scenario ya wachawi ni ngumu mnoSasa walikuongelesha vp kama walishindwa kuingia kwako!
Chizi weweNitapaka na nitakaa ndani ya Gari yenye tinted
mie sijaokoka mbona Niko kawaida tu nikiokoka serious siitakuwa hatariwe mwanamke kiboko umeokoka nini?