Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Huwezi kuwaona wachawi bila kutumia nguvu za giza. Kama hujawahi kwenda kwa mganga, basi ukiwa mdogo ulichanjwa na dawa za kujikinga na uchawi mbaya zinazokupelekea kuwaona wachawi.....
 
Huwezi kuwaona wachawi bila kutumia nguvu za giza. Kama hujawahi kwenda kwa mganga, basi ukiwa mdogo ulichanjwa na dawa za kujikinga na uchawi mbaya zinazokupelekea kuwaona wachawi.....
Hata ukichanjwa nibunajitafutia majanga makubwa sana.. Ukiwekewa dawa ya kuwaona wachawi ni kujichimbia kaburi
 
Sihifaham mkuu

Adjustments.jpg

Hii ndyo minyaa yenyewe mkuu, pia inapandwa majumbani kuzuia radi isilete madhara.
 
Juzi walikuja kama wanne kwangu wakashindwa kuingia nyumbani. Halafu wakiwa wanakuongelesha wanakua kama wananong'ona hivi
 
Napenda Sana NINGEKUWA Kama wewe ningeomba neema kwa Mungu anizidishie nguvu Mara Mia niwatese kwa nguvu za Kimungu. cariha
Dah Mimi sipendi hyo hali naona ndio na hushindwa kunifanya kitu shida nikuanza kukuchukia bila sababu na kueneza sumu kwa watu za uongo, na wengi hufikiria nimechanjwa kumbe ndio nilivo zaliwa tangu utoto na sijawahi chanjwa, watu huniambia macho yako hayo sio mazuri kuona loh
 
Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza

Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu

Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni

Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.

Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo.

Sharti
1. Usiwe muoga
2. Utakapowaona usikimbie wala kuonesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka

Tahadhari

Ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi, ili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote

MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri

~Kamua ili upate maji yake

~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia

Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda, pia hata ukiwa ndani umelala kama watakuja utawaona

Zingatia masharti.

Leteni mrejesho mtakao waona
wewe umewahi kujaribu?
 
Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza

Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu

Kisamvu ni mboga, mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni

Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa, majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.

Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo.

Sharti
1. Usiwe muoga
2. Utakapowaona usikimbie wala kuonesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka

Tahadhari
Ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi, ili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote

MAANDALIZI
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri

~Kamua ili upate maji yake

~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia

Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda, pia hata ukiwa ndani umelala kama watakuja utawaona

Zingatia masharti.

Leteni mrejesho mtakao waona
Masharti na vigezo kuzingatiwa...
 
Kuna kipindi nilikuwa naona wachawi eeh bana siku hyo kariakoo si nikawa naona vitu vya ajabu nikishtuka vinapotea, aisee kumbe kariakoo ule wingi wa watu Kuna viumbe vya ajabu sana kule.
we mwanamke kiboko umeokoka nini?
 
Kuna jamaa ananiambiaga nikitaka kuona wachawi muda wowote nimwambie ananipaka dawa usoni sema huwa napuuza kwa sababu mtu mwenyewe haoni.
 
''ponda kisamvu mpaka kiive vizuri''! hapa mbona mi sijaelewa, nikiponde na nikipike au?!!!! nazungumzia hiyo namba 1 ya maandalizi
 
32 Reactions
Reply
Back
Top Bottom